Wednesday, August 8, 2007

SALAMA MWANA WA JABIR NA CHANNEL FIVE YAKE

`

Ndugu Msomaji kipindi cha planet bongo cha tarehe 8/8/2007 bibie Salama Kupitia kituo cha channel five kinachopatika Tanzania yote
africa yote na maeneo ya europe. Tv inayopendwa na watu wengi zaidi Bongo Land Bibie aliplay Video ya Cinderela ya msanii Ali Kiba
kuwa hiyo video ni mbaya je?
[1] Kwa kuwa kituo kinapatika Tanzania kote na africa yote huko ni kumpunguzia soko msanii
[2] Hiyo tabia ikiachiwa si wasanii mauzo yao yatapungua

Mimi sina mengi wewe tuma Maoni yoko tukusikie na Salama akusikie
Posted by Picasa
  • Cinderella
    Mara ya mwisho mimi na wewe kuonana kipindi twasoma shule ya msing kigoma
  • Najua ulinipenda ila hukutaka penzi kulilinda
  • Ungesema mapema
  • iliniuma sana
  • Mm leo niko Dar
  • Aliyenipenda nishamuoa
  • Je wataka kumjuajina?
  • Aitwa Cinderella
  • rudi home wewe
  • Rudi nyumbani
  • Wasalimie Kigoma

Ulinitesa sana

  • Sababu nilikupenda sana
  • Kijijini kwa bibi kigoma
  • Iliniuma sana
  • Mimi leo niko Dar
  • Aliyenipenda nimeshamuoa
  • Je wamtaka kumjua jina
  • Rudi home wewe
  • Wasalimie Kigoma
  • Waambie nimeshaoa
  • Uliniadi mapenzi ni kweli ulinitekaKadri siku zilivyozidi baby ukanitesaMamy mara uko bize mamyMi mshamba wa mapenziSi ndo wakashare namiKila ninapokuona,Ninapokuona Moyo unazima nakumbuka tu KigomaNakosa raha mwenyewe si unanionaIla Cinderella kapoza moyo kuchomaMmmh!Mi nachoka haki ya munguInga(wa) ni gani kiasi baby najua machunguNingetaka kuwa naweNingetaka kuwa naweNingetaka kuishi naweIla tu mm nimeshabainiHiyo ni true mamyNishampata mwingine ambaye anayenifaa

HUYU NI MJASIRIMALI ANAYEZITAFUTA USD 100 000 CHASH EBWANAA SIO MCHEZO UNAWEZA KUUA BAND HIVIHIVI





Housemate 9 : Richard [Tanzania]

Name: RichardAge: 24Birthday: August 10Gender: MalePlace of Birth: IlalaHeight: 1.77mOccupation: Student
If he won USD 100 000, Tanzanian housemate Richard says he’d spend it buying film equipment. The 24-year-old film student is passionate about making movies and considers filmmaker Peter Jackson is his personal inspiration. The only married contestant on Big Brother Africa 2, Richard would love to visit his wife’s hometown of Brandon in Manitoba, Canada to see “where and how see grew up”.
Describing himself as a very entertaining person, the housemate says that he doesn’t embarrass easily and that his bad habit is that he is very loud in the morning, before any one else is fully awake. He plans to win Big Brother Africa 2 without losing his integrity and self respect. A lover of the natural beauty of East Africa, he says that his favourite memory is driving through the Ngorogoro Crater watching the different wildlife. He also says that the best places to visit in Tanzania are the Serengeti National Park and the coastal areas, especially Zanzibar.

BWANAA SIO MCHEZO NYIE WADAU MNASEMAJE KWA HILO TETA KWENYE MAONI
JAMAA MANZI WAKE NI MTASHA WEWE SI MCHEZO ............MSHIKE MSHAVU WEWE

MAISHA NI KUJITUMA WEWE MWENYEWE KATIKA KAZI




Ebwana Mjini kuna Matatizo yake Pamoja na Vijana kuamua kujiajili wenyewe lakini kuna sehemu ya JIJI Hayo Maguta yamepigwa
marufuku kubeba Mizigo. Hapo huo mzigo sio wa huyo mwendesha guta kuna mjarisiamali mwingine aliyekodi guta
Sema wewe msomaji Vijana wa Bongo Land watanyanyuka hapo kesho na kuwa mashefa wa muda huo? Teta wewe ndugu yangu
kwenye Maoni
Posted by Picasa

Tuesday, August 7, 2007

KATIKA KIPINDI KIMOJA CHA CHANNEL FIVE MADA ILIKUWA JE NI RUKSA KUCHUKUA SHERIA MKONONI





Mimi sina mchango zaidi ya kusema Tuusichukue sheria mkononi ila Polisi na Mahakama ndio vyombo husika
Je wewe msomaji unasemaje? Raia wasonge mbele kuwachoma watuhumia wa wizi
Posted by Picasa

HUYU NI MMASAI NA SI MMACHINGA


MJINI NI SHULE HAWA JAMAA WALIKUJA NA KAZI MOJA NAYO NI ULINZI LAKINI SASA WANATEMBEZA BIASHARA ZA MKONONI KAMA WALE JAMAA TOKA KUSINI TENA KATIKA JIJI LA MKUU WA MKOA ALIYEWATIMUA WAPIGA DEBE KWENYE VITUO VYA DALADALA WEWE UNASEMAJE ?

Monday, August 6, 2007

KATIKA KUKWEPA WASIGONGANE YAKATOKEA HAYA





Hiyo gari ilikuwa imebeba vyuma vichakavu ,na gari yenyewe ni ya zamani kama vyuma vilivyobebwa
Posted by Picasa

Sunday, August 5, 2007

TAUSI KAMA NDEGE


NAKAYA NA MALAIKA MKONONI







NAKAYA MWANAMZIKI MWENYE MATARAJIO MAKUBWA KATIKA MZIKI



Nakaya alizaliwa jijini Arusha , Tanzania tarehe 3 septemba 1982. Ni mtoto wa kwanza kati ya watoto tano. Wazai wake ni wafanya biashara jijini arusha. Nakaaya alikulia Arusha na Nairobi, Kenya alikoenda shule. Alvyokuwa na umri mdogo wakati bado yupo shule Nakaaya alipenda sana kuimba na kuigiza kwenye show tofauti za shule.
Baada ya kumaliza shule alihamia dar es salaam.Alipokuwa dar alifanya kazi mabali mbali za ofisini kabla a kupata nafasi ya kuingia kwenye ulimwengu wa muziki. Nakaaya ni mpenzi wa kuimba na kucheza tangia utoto wake na mwaka 2004 alialikwa kuimba na bendi ya tanzanite. Alifanya kazi mhana na kuimba usiku, ilimbidi kuacha kuimba kwa muda ili isigongane na majukumu yake.
Mwaka 2006 tangazo moja kwenye gazeti lilimpa Nakaaya nafasi mpya. Tusker project fame walikuwa na majaribio kwenye jumba la sinema la dar es salaam na kuwashangaza ma jaji, na kupita na kukubaliwa kuwa mmoja wa wanaoingia kwenye jumba hilo.

TOKA INDIA


MCHEZA SINEMA MISS INDIA WA ZAMANI NA SURA YAKE YA NGUVU ALIYOPEWA NA MUNGU KAMA WEWE AU MIMI TULIVYOPEWA PIA HATA KAMA SIO NZURI NI ZETU
Posted by Picasa

Saturday, August 4, 2007

PAPARAZI ISSA MICHUZI




HUYU NDIYE PAPARAZI WA BONGO AKIWA UGANDA INASEMEKANA AMEKWENDA KWA WAKWE MMMMMMMM
JAMAA ANAMOYO KWELI WAREMBO WOTE HAPA BONGO MMMM MPAKA KWENDA UGANDA MMMMMM MIMI
SIMO SEMA WEWE MSOMAJI
Posted by Picasa

HAWA NDIO ZE COMEDIAN TZ


HAWA JAMAA WANAPENDWA ZAIDI HAPA BONGO KWA VICHEKESHO VYAO LAKINI MMMMMM MIMI SIMO IPO SIKU
NITUKUBONYEZA NINI HIYO SIRI WEWE POZI KWENY BLOG HIII
Posted by Picasa

Dumia Isiyo na Njaa

Maono yetu ni ulimwengu ambao hauna njaa na ukosefu wa lisha bora- ulimwengu ambamo kila mtu anaweza kuhakikishiwa kuwa atapata chakula anachohitaji ili awe na lishe bora na mwenye afya. Maono yetu ni ya ulimwengu ambao mbali na kumpa kila mtu maslahi na heshima yake kama mja, utavilinda vitu hivi. Huu ni ulimwengu ambapo watoto watakua, wajifunze na kunawiri, huku wakiishia kuwa watu katika jamii walio na afya nzuri, wenye kuitumikia na kuijali.
Ijapokuwa mafanikio katika kupunguza matatizo ya njaa ya lishe bora yameonekana ulimwenguni kote, bado tungali nyuma katika kufanikiwa kuwa na ulimwengu ambao watu wake hawana njaa. Tunaona elimu na taarifa za masuala yaliyofungamana na njaa ulimwenguni, usalama wa chakula na lishe bora kama masuala muhimu katika kufanya maono haya ya kilimwengu yafaulu. Kwa hali hii, tunazielekeza juhudi zetu kwa vijana na walimu wao. Je, endapo kila mwaka, kwenye siku kuu ya Chakula Ulimwengu (tarehe 16, Oktoba) watoto ulimwenguni kote watafahamishwa kwa pamoja vifaa vinavyofanana vya kufunzia kuhusu njaa na utapiamlo pamoja na yale yatakikanayo kufanywa, wataweza kukua wakitambua jinsi ulimwengu wetu unavyotegemea mambo mengine? Je, endapo watafundishwa masomo kutoka sehemu tofauti tofauti za ulimwengu,kutoka tamaduni na hali mbalimbali wakakuwa tayari kufanya kazi pamoja ili kutatua matatizo ya njaa na usalama wa chakula? Je, kunazo njia ambazo kwazo kizazi cha vijana chaweza kukuzwa ili wawe wananchi wanaotegemewa na walio wa kilimwengu?
Tunaamini kwamba majibu kwa maswali haya yote ni “NDIYO” kama walimu mpo katika hali nzuri ya kuweza kuwafanya vijana wawe ni watu wanaojali na wanaojitolea kijiunga katika vita dhidi ya njaa. Ubunifu, mawazo fikira, pamoja na maguvu ya vijana huwakilisha rasilmali muhimu ya kuendelea kukuza jumuiya na mataifa yao. Nyinyi, walimu wao, mwaweza kusaidia katika kuleta mageuzi kupitia kwa ujulishaji, kubadilishana maarifa, kuhimiza ushiriki, na kuwaonyesha vijana kuwa wanalo jukumu muhimu katika kufaulisha kuwepo kwa ulimwengu usio na njaa.
Tungependa kuwapa moyo kujiunga na walimu pamoja na wanafunzi ulimwenguni kote ili kujihusisha katika shughuli za Kulisha Akili, Kupambana na Njaa.

Njaa na Ukosefu wa Lishe Bora Duniani
Journée mondiale de l'alimentation
Washiriki katika du Projet Kulisha Akili, Kupambana na Njaa
Shukrani
Kudhamini
Wasiliana nasi
Pata faili la mtindo wa PDF

Blogger Beta non-spam review and verification request: http://kennedytz.blogspot.com/




Blogger Help
to me
show details
Aug 3 (2 days ago)
Hello,Your blog has been reviewed, verified, and cleared for regular use so thatit will no longer appear as potential spam. If you sign out of Blogger andsign back in again, you should be able to post as normal. Thanks for yourpatience, and we apologize for any inconvenience this has caused.Sincerely,The Blogger Team


Thanks Blogger Team for every thing Let God bles all Blogger team

DR AM JEI AKIWA KATIKA FANI


HUYU NDIYE AMJEI NI HODARI KATKA KIKUNDI CHOA ANAJUA NINI ANACHOFANYA
Posted by Picasa

Thursday, August 2, 2007

Posted by Picasa

Monday, July 30, 2007

EBWANAWEWEEE JAMAA WANAJITAIDI


SEMA HAWA JAMAA WAKO FRESH KWA SASA MMMMM
Posted by Picasa

Sunday, July 29, 2007

JENGO LITAKOLIPIKU KITEGA UCHUMI LIPO KARIBU NA POSTA MPYA







SIJUI KAMA WAMEJIZATITI NA MOTO WAKAULIZE KITEGA UCHUMI

KILA BAADA YA MIEZI KADHAA MOTO JE WAO JE?




RAY C



RAY C RAY C RAY C KATIKA POZI YA NGUVU
RAY C RAY C RAY C RAY C

SALAMA AKIWA STUDIO ZA CHANNEL FIVE [5]



Mwanadada Salama akiwa kwenye Kipindi chake cha Planet Bongo Mwana dada huyu ni machaahari katika
kutoa kasoro nyimbo za kizazi kipya, hiyo stairi ya kuwapa changamoto wanamuziki katika kuwa makini
kwenye kurekodi. Wewe msomji unasemaje kuhusu Salama na Speed yake hiyooo.... mmmmm naishia hapo
Posted by Picasa

MWILI UNAPOCHOKA

Mtu anapochoka inabidi apumzike kidogo Jamaa inaonekana Baada ya kazi ngumu ameamua kuuchapa
Posted by Picasa

keep enjoy


Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu