Friday, May 8, 2009
Majambazi na polisi watupiana risasi katikati ya kariakoo leo asubuhi
Land Rover la polisi likiwa na damu ya jambazi mojawapo
Wananchi wakiwashangilia polisi kwa kazi nzuri ya kumkata jambazi mmoja
Mtaa huo ulikuwa apiti mtu leo kwani, inasemekana majambazi yalikimbilia katika ghorafa mojawapo iliyokuwa bado inajengwa
Wabongo kama kawaida yetu macho mbele mita mia
Wananchi wakiwashangilia polisi kwa kazi nzuri ya kumkata jambazi mmoja
Mtaa huo ulikuwa apiti mtu leo kwani, inasemekana majambazi yalikimbilia katika ghorafa mojawapo iliyokuwa bado inajengwa
Wabongo kama kawaida yetu macho mbele mita mia
Posted by Unknown at 5/08/2009 11:49:00 AM
Thursday, May 7, 2009
Subscribe to:
Comments (Atom)







