Thursday, July 5, 2012

MNYIKA NA SIASA YA TANZANAI NA MALENGO YAKE KAMA KIONGOZI BORA NA SI BO...




Katika viongozi vijana ninaowafuatilia kwa karibu basi mmoja ni mbunge wa ubungo.
Kila atua anayopiga katika siasa kwangu ni kile kilicho bora katika safari yake ya siasa
Sio kwa vile yupo chama fulani, ninachovutiwa ni mikakati na msimamo wa kuchambua masuala kwa mapana wigo na upeo.

Mimi si mfuasi wa chama aliko bali ni mtu nayewafuata viongozi wenye msimamo na mikakati endelezi kama  mbunge wa ubungo  Mnyika.

Nampongeza yeye na viongozi wenye mfano kama wake, kwani ubora wa kiongozi ni kulijenga taifa na si kubomoa.

WABUNGE WAKICHANGIA BAJETI NDANI YA BUNGE LA 2012

Tuesday, July 3, 2012

Yaliyosemwa na Mbunge wa mbeya Mbilinyi au Sugu dhidi ya serikali



Pata yote yanayoendelea bungeni kupitia hapa hapa kennedytz -"usiguse koki utalowa wewe"

Eng- Stella Manyanya na lawama kwa madaktari kusababisha vifo

Ndani ya bunge na vishoka toka kwa Mhe Moses Joseph NCCR Mageuzi

Monday, July 2, 2012

Mbunge mwingine atolewa nje ya bunge.

Tindu Lissu alipokutana na mwenyekiti mtemi na mwenye msimamo bungeni.

Sugu na sakata la Ulimboka bungeni.

Habari mchanganyiko toka Tanzania

Thursday, June 28, 2012

Mgomo wa Madaktari Muhimbili



Huduma za jamii karibu zote zimesimama katika hospitali ya muhimbili. Madokta bado wanaendelea kupinga maagizo ya mahakama yaliyoelekeza waende kazini mara moja.

Serikali yachukizwa na tukio la kijasusi alilofanyiwa Dokta Steven Ulimboka



Pinda achukizwa na tukio la kijasusi kwa Daktari Steven Ulimboka. Wanajeshi na hospital ya lugalo kuwapokea  wagonjwa kwa sasa.

Pinda asema - Litakalo kuwa na liwe

Sakata la daktari kutekwa na kupigwa DKT STEVEN ULIMBOKA


Watu wasiojulikana walimteka mwenyekiti wa madaktari Stephen nakumpiga kumuumiza vibaya sana.

Wednesday, June 27, 2012

Ndani ya bunge na mjadala wa bajeti ya ofisi ya waziri mkuu.

Mbunge anayepeleka matatizo ya jimbo lake

Fedha za vigogo katika benki za nje.

Kinachoendelea kwenye Mgomo wa madokta ndani ya Tanzanai.

JanB ft Emmie-Playa Haters

Tuesday, June 26, 2012

Mgomo wa madokta Tanzania

Saturday, June 23, 2012

The 2012 World Marathon Challenge

Thursday, June 21, 2012

Bungeni na wabunge

Spika atoa somo ndani ya bunge la Tanzania

Tuesday, June 19, 2012

Mbunge asema kiwango cha elimu chake na mwenzake nisawa

Wabunge vijana katika bunge la sasa Tanzanaia



Sifa ya mwanasiasa ni kujua kuongea hebu tupia jicho na sikio lako hapa

Yaliyotokea Bungeni Mnyika aliposema JK ni m....

Monday, June 18, 2012

Habari za Tanzania via Star Tv

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu