Wednesday, September 2, 2015
Tuesday, September 1, 2015
Ujenzi jijini Dar es salaam
Posted by Kennedytz at 9/01/2015 10:10:00 PM
Labels: kennedytz.blogspot.com
2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;
3 si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha;
4 mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;
Posted by Kennedytz at 9/01/2015 08:51:00 PM
Labels: kennedytz.blogspot.com
Monday, August 31, 2015
Cha zamani lakini kipo kazini. Mashine ya kutengeneza mfereji katika chuma
Posted by Kennedytz at 8/31/2015 12:48:00 PM
Sunday, August 30, 2015
Thursday, August 27, 2015
15 And, behold, I am with thee, and will keep thee in all places whither thou goest, and will bring thee again into this land; for I will not leave thee, until I have done that which I have spoken to thee of.
Posted by Kennedytz at 8/27/2015 11:16:00 PM
Samia Suluhu Hassani katika viwanja vya jangwani Ufunguzi wa kampeni za ...
Posted by Kennedytz at 8/27/2015 11:04:00 PM
13 These things have I written unto you that believe on the name of the Son of God; that ye may know that ye have eternal life, and that ye may believe on the name of the Son of God.
14 And this is the confidence that we have in him, that, if we ask any thing according to his will, he heareth us:
15 And if we know that he hear us, whatsoever we ask, we know that we have the petitions that we desired of him.
16 If any man see his brother sin a sin which is not unto death, he shall ask, and he shall give him life for them that sin not unto death. There is a sin unto death: I do not say that he shall pray for it.
17 All unrighteousness is sin: and there is a sin not unto death.
18 We know that whosoever is born of God sinneth not; but he that is begotten of God keepeth himself, and that wicked one toucheth him not.
19 And we know that we are of God, and the whole world lieth in wickedness.
20 And we know that the Son of God is come, and hath given us an understanding, that we may know him that is true, and we are in him that is true, even in his Son Jesus Christ. This is the true God, and eternal life.
Posted by Kennedytz at 8/27/2015 08:28:00 PM
Tuesday, August 25, 2015
Rais Mstaafu Ally Hasani Mwinyi Katika ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani
Posted by Kennedytz at 8/25/2015 10:57:00 PM
20 For where two or three are gathered together in my name, there am I in the midst of them. 21 Then came Peter to him, and said, Lord, how oft shall my brother sin against me, and I forgive him? till seven times? 22 Jesus saith unto him, I say not unto thee, Until seven times: but, Until seventy times seven. 23 Therefore is the kingdom of heaven likened unto a certain king, which would take account of his servants.
Posted by Kennedytz at 8/25/2015 06:44:00 PM
We.-17-18-19
17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu. 18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu. 19 Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.
Posted by Kennedytz at 8/25/2015 12:17:00 PM
Sunday, August 23, 2015
Joseph Sinde Warioba Katika ufunguzi wa Kampeni za CCM.
Posted by Kennedytz at 8/23/2015 11:31:00 PM
Magufuli asema
Mgombea urais wa CCM Magufuli asema atawalinda wana habari.
Wana habari wote lao ni moja kuelimisha na kufikisha habari kwa njia tofauti.
Posted by Kennedytz at 8/23/2015 06:37:00 PM
Magufuli katika ufunguzi wa kampeni za CCM.
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi akiwahutumia mamia ya wanachama wa CCM viwanja vya jangwani jijini Dar es salaam.
Posted by Kennedytz at 8/23/2015 06:11:00 PM
Saturday, August 22, 2015
Sumaye ajiunga na ukawa
Waziri mkuu wa zamani Federikc Sumaye amehama CCM na kujiunga na Ukawa.
Amesema chama atakitaja mbele kwa mbele.
Posted by Kennedytz at 8/22/2015 03:23:00 PM
Friday, August 21, 2015
Thursday, August 20, 2015
Sunday, August 16, 2015
Isaya
13 Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi. 14 Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.
Posted by Kennedytz at 8/16/2015 11:42:00 PM
Y-21--15
15 Basi walipokwisha kula, Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha wana-kondoo wangu.
Posted by Kennedytz at 8/16/2015 07:17:00 PM
Friday, August 14, 2015
Buhari na kasi zidi ya Boko Haram
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari. Amewapa wakuu wapya wa majeshi miezi mitatu kuwamaliza kundi la kigaidi la Boko Haram.
Buhari ametoa amri hiyo wakati wa kuwaapisha viongozi wa kijeshi aliowateua mwezi uliopita.
Buhari alisema atatoa vifaa vinavyoitajika ili kufanikisha ushindi.
Lakini amewataka kufuata sheria wakakati wa mapigano na magaidi
Nigeria's President Muhammadu Buhari has given his new military chiefs a three-month deadline to defeat militant group Boko Haram. Buhari gave the order at a swearing-in ceremony for the new service commanders he appointed last month. He said he would give troops the necessary resources to achieve the feat but urged them to abide by the law when fighting the militants.
Picha na habari toka CCTV Afrika.
Posted by Kennedytz at 8/14/2015 09:51:00 AM
Labels: kennedytz.blogspot.com
Thursday, August 13, 2015
Methali
1 My son, forget not my law; but let thine heart keep my commandments: 2 For length of days, and long life, and peace, shall they add to thee.
Posted by Kennedytz at 8/13/2015 08:37:00 PM
Methali 3-1-2
Mwanangu, usiisahau sheria yangu,Bali moyo wako uzishike amri zangu.
Maana zitakuongezea wingi wa siku.Na miaka ya uzima, na amani.
Posted by Kennedytz at 8/13/2015 08:37:00 PM






