Tuesday, September 8, 2015

Nigeria's president has ordered an investigation of security services spending.

Nigeria's president has ordered an investigation of security services spending.

Local media is reporting Muhammadu Buhari wants to see how money allocated for the military, particularly in its fight with Boko Haram, was spent.

The probe follows months of allegations that the military was under-funded, under-trained and under-equipped - despite supposedly accounting for one of Nigeria's biggest budgets. Buhari previously has vowed to crack down on corruption, and already launched similar investigations elsewhere.

Monday, September 7, 2015

14 Mkilaumiwa kwa ajili ya jina la Kristo ni heri yenu; kwa kuwa Roho wa utukufu na wa Mungu anawakalia.

15 Maana mtu wa kwenu asiteswe kama mwuaji, au mwivi, au mtenda mabaya, au kama mtu ajishughulishaye na mambo ya watu wengine.

16 Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.

13 Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.

Sunday, September 6, 2015

Mbweni beach

Hapa nikijaribu kumbeba Nguru au Kingfish.

Samaki aina ya Nguru

Kingfish au Nguru

Friday, September 4, 2015

Live transmission of ESA astronaut Andreas Mogensen being launched to the International Space Station on his 10-day iriss mission with commander Sergei Volkov and Kazakh cosmonaut Aidyn Aimbetov. Docking with the International Space Station and opening the hatch between the spacecraft will take place on Friday morning. http://livestre.am/5bgSr

Wednesday, September 2, 2015

Tuesday, September 1, 2015

Ujenzi jijini Dar es salaam

Ujenzi maeneo ya Moroko

2 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;

3 si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha;

4 mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;

Monday, August 31, 2015

Cha zamani lakini kipo kazini. Mashine ya kutengeneza mfereji katika chuma

Sunday, August 30, 2015

Papa mdogo

Wavuvi eneo la mbweni na Samaki Papa mdogo.

Thursday, August 27, 2015

15 And, behold, I am with thee, and will keep thee in all places whither thou goest, and will bring thee again into this land; for I will not leave thee, until I have done that which I have spoken to thee of.

Samia Suluhu Hassani katika viwanja vya jangwani Ufunguzi wa kampeni za ...

13 These things have I written unto you that believe on the name of the Son of God; that ye may know that ye have eternal life, and that ye may believe on the name of the Son of God.

14 And this is the confidence that we have in him, that, if we ask any thing according to his will, he heareth us:

15 And if we know that he hear us, whatsoever we ask, we know that we have the petitions that we desired of him.

16 If any man see his brother sin a sin which is not unto death, he shall ask, and he shall give him life for them that sin not unto death. There is a sin unto death: I do not say that he shall pray for it.

17 All unrighteousness is sin: and there is a sin not unto death.

18 We know that whosoever is born of God sinneth not; but he that is begotten of God keepeth himself, and that wicked one toucheth him not.

19 And we know that we are of God, and the whole world lieth in wickedness.

20 And we know that the Son of God is come, and hath given us an understanding, that we may know him that is true, and we are in him that is true, even in his Son Jesus Christ. This is the true God, and eternal life.

Tuesday, August 25, 2015

Rais Mstaafu Ally Hasani Mwinyi Katika ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani

20 For where two or three are gathered together in my name, there am I in the midst of them. 21 Then came Peter to him, and said, Lord, how oft shall my brother sin against me, and I forgive him? till seven times? 22 Jesus saith unto him, I say not unto thee, Until seven times: but, Until seventy times seven. 23 Therefore is the kingdom of heaven likened unto a certain king, which would take account of his servants.

We.-17-18-19

17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu. 18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu. 19 Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.

Sunday, August 23, 2015

Joseph Sinde Warioba Katika ufunguzi wa Kampeni za CCM.

Magufuli asema

Mgombea urais wa CCM Magufuli asema atawalinda wana habari.

Wana habari wote lao ni moja kuelimisha na kufikisha habari kwa njia tofauti.

Magufuli katika ufunguzi wa kampeni za CCM.

Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi akiwahutumia mamia ya wanachama wa CCM viwanja vya jangwani jijini Dar es salaam.

Saturday, August 22, 2015

Sumaye ajiunga na ukawa

Waziri mkuu wa zamani Federikc Sumaye  amehama CCM na kujiunga na Ukawa.

Amesema chama atakitaja mbele kwa mbele.

Friday, August 21, 2015

Ndege Angani.

Thursday, August 20, 2015

Flown Orion Prepared for Move | NASA

Flown Orion Prepared for Move | NASA

Sunday, August 16, 2015

Isaya

13 Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi. 14 Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.

Ajali

Y-21--15

15 Basi walipokwisha kula, Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha wana-kondoo wangu.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu