Thursday, October 9, 2008




Posted by Picasa

NI AIBU !



Posted by Picasa

Wednesday, October 8, 2008

Katuni na Saidi wa Michael

KATUNI INASEMA

BORA KUFA KATIKA FIKRA ZINAZO ISHI, KULIKO KUISHI KATIKA FIKRA ZILIZO KUFA, TAZAMA WENYE MATUMBO MAKUBWA BADO WANALIA NJAA, HAWA NI SAWA NA PAPA WACHACHE WAFAKAMIAO VIPANDE VYA MKATE HUKU DAGAA WENGI WAKIENDELEA KUFA NJAA

Tuesday, October 7, 2008




Posted by Picasa



Posted by Picasa




Posted by Picasa




Posted by Picasa

Vifo, vilio Tarime




Posted by Picasa

Ray c Nae aingia katika mchuano wa matiti



Posted by Picasa

Monday, October 6, 2008

Bomoa Bomoa ya Kunduchuchi machimbo

Watanzania wenye kipato cha kawaida ndio wengi waliojenga hapa tena wengi fedha wametafuta
kwa jasho kwelikweli na sio za EPA au RICHIMOND au IPTL au Migodi
Bila kuwasaau Wanajeshi wa panda zote mbili Jwtz na Polisi raia
Ni Hatari lakini utafanyaje
Wengine wakifuatilia kwa karibu habari yote kwani kuna tetesi eneo hilo ni la mwarabu mmjo
Mhnnn mimi simo mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Tena wanaotolewa ndio wenye .......nch....
Posted by Picasa

Usafiri wa Mh Waziri wa Ardhi Nyumba na makazi J Chiligati
Mh Chiligati katikati akiwazia nini cha kuseme
Wakazi wa Kunduchi wakingojea kupewa watalopewa
Du Lakini wewe sema mwenyewe ni haki watu kujenga katika eneo kama linavyoonekana katika picha
Posted by Picasa




Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu