ZITO KABWE NA SIASA ZA TANZANIA JE TUTAFIKA KWELI?
click picha kupata picha kubwa
Jamani nafikiri Bunge linataka kuchochea moto kwa Gesi ya Songo songo
Nikimnukuu Mwanasheria mmoja aliyekuwa katika kipindi cha Pambanua
'kuwa kutokana na sheria za bunge letu ilitakiwa kabwe asiuzurie vikao vitano tu" Sasa yule
mweshimiwa sana Sita ametoa wapi! hiyo hadhabu ya mpaka january Mimi sisemi
teta wewe kwenye maoni Kwani Kabwe ni kijana Mwenzetu Hawa wazee bado woko kimwaka 47

Jamani nafikiri Bunge linataka kuchochea moto kwa Gesi ya Songo songo
Nikimnukuu Mwanasheria mmoja aliyekuwa katika kipindi cha Pambanua
'kuwa kutokana na sheria za bunge letu ilitakiwa kabwe asiuzurie vikao vitano tu" Sasa yule
mweshimiwa sana Sita ametoa wapi! hiyo hadhabu ya mpaka january Mimi sisemi
teta wewe kwenye maoni Kwani Kabwe ni kijana Mwenzetu Hawa wazee bado woko kimwaka 47