Friday, August 17, 2007
Thursday, August 16, 2007
ZE COMEDIANS WA BONGO WAPO JUU KATIKA FANI
Posted by Unknown at 8/16/2007 10:13:00 PM
Labels: Copyright 2007 kennedy blog. All rights reserved, Thanks channel five let me try
WABONGO WAKIWA KAZINI SI MCHEZO SEHEMU NNE KWENYE PICHA
Posted by Unknown at 8/16/2007 09:38:00 PM
Labels: Copyright 2007 kennedy blog. All rights reserved, Thanks channel five let me try
NDIO UKWELI WENYEWE WANANGOJEA MPAKA AMALIZE NDIO WABOMOE SI MNAKUMBUKA HILO CHINI
Posted by Unknown at 8/16/2007 12:21:00 AM
Wednesday, August 15, 2007
ZITO KABWE NA SIASA ZA TANZANIA JE TUTAFIKA KWELI?

Jamani nafikiri Bunge linataka kuchochea moto kwa Gesi ya Songo songo
Nikimnukuu Mwanasheria mmoja aliyekuwa katika kipindi cha Pambanua
'kuwa kutokana na sheria za bunge letu ilitakiwa kabwe asiuzurie vikao vitano tu" Sasa yule
mweshimiwa sana Sita ametoa wapi! hiyo hadhabu ya mpaka january Mimi sisemi
teta wewe kwenye maoni Kwani Kabwe ni kijana Mwenzetu Hawa wazee bado woko kimwaka 47
Posted by Unknown at 8/15/2007 10:47:00 PM
Tuesday, August 14, 2007
NAOMBENI KURA ZENU-A.Y
click kwenye picha kupata picha kubwa
Tukirejea katika habari zitolewazo na mtandao huu,habari ya tarehe 13 Julai 2007 yenye kichwa cha habari “USIJARIBU YA A.Y KUWANIA TUZO ZA KISIMA” sasa muda wa kupiga kura umewadia.Kwa mujibu wa maelezo ya A.Y ni kuwa kwa kipindi hiki amepewa maelekezo ya jinsi ya kupiga kura ukiwa nchini Kenya.Na kwa wale ambao wako nje ya nchi ya Kenya watapewa maelezo mapema iwezekanavyo.
“Mwimbo wangu wa USIJARIBU umechaguliwa kushindaniwa katika categories mbili…BEST SONG TANZANIA na BEST VIDEO TANZANIA katika KISIMA MUSIC AWARDS ya nchini KENYA,Kwa mashabiki wangu wote walio ndani ya Kenya nawaomba wajitokeze kwa wingi kwa kunipigia kura tuweze kuchukua tuzo hizo.
Ukitaka kunipigia kura kwa njia ya simu ya mkononi andika kwenye sms KISIMA 16a kisha tuma katika namba 8001 hapo utakuwa umeichagua USIJARIBU kuwa the best song toka Tanzania. Pia andika KISIMA 17b kisha tuma katika namba 8001 hapo utakuwa umeichagua USIJARIBU kuwa the best video kutoka TANZANIA.Najua siku zote hamniangushi katika kila jambo tunalolifanya kwa ushirikiano.
Na kwa wale washabiki wangu wa nchi yangu TANZANIA na majirani zetu UGANDA,BURUNDI na RWANDA na wengine ambao mpo popote duniani pia nitawapa maelekezo ya jinsi ya kupiga kura kwa kutumia website.Nasubiri maelekezo ya waandaaji wa Tuzo hizo,ASANTENI SANA NA NAUHESHIMU SANA NA KUUTHAMINI SANA MCHANGO WENU. Alimalizia A.Y katika maelezo yake kwa washabiki wake kupitia vyombo vya habari.
Posted by Unknown at 8/14/2007 07:54:00 AM
Sunday, August 12, 2007
JIJI LA MKUU WA MKOA ALIYEAMUA KUPUNGUZA BIASHARA UCHWARA
Pilikapilika za katikati ya JIJI Hapa Askari Mgambo wa jiji wakiwakamata vijana wanaokiuka amri sahihi za jiji za
kutofanya biahara katikati ya ajiji. Mkuu huyo wa mkoa huu ambaye yuko fiti katika kuliweka hili jiji katika ubora
wa kimataifa
Posted by Unknown at 8/12/2007 11:22:00 PM
KITUO CHA WATOTO YATIMA JE TUNAWAKUMBUKA ?
Je Watanzania Tunawatembelea Watoto yatima na kuwapa ushirikiano katika maisha yao??
Angalia Hawa watoto Toka wapi sijui? Waliamua kuchukua siku ya jumapili yao Kuwatembelea watoto wenzao!
kuwapa wenzao faraja ambayo Mwenyezi Mungu anayopenda sisi kutenda, jaribu kufikiria Mara nyingi Jaribu kuwasaidia watoto yatima popote walipo na mwenyezi Mungu atakulipa siku moja
Posted by Unknown at 8/12/2007 11:08:00 PM
Saturday, August 11, 2007
KENYA FLAG WITH EXPLANATION[Bendera ya kenya na maelezo yake]
[smi80] designates this flag to be the state ensign too (i.e. CSW/CS-) Željko Heimer, 15 Jan 2001
National Flag and Jack. The national flag is a black-red-green tricolor with white fimbriations and overall a Masai shield and two white spears. The shield is red with black flanks and a white disk in the middle and four white charges. The Album 2000 is the first place where I see the construction details for this flag, and it defines the ratio of three stripes as 6+1+6+1+6. I guess that there may have existed also detailed construction sheet of the central emblem too. Source: Album 2000. Željko Heimer, 30 Mar 2002
Kenya Flag Flag Overall Dimensions - 3:2 Three major strips - Black , Red , and Green separated by narrow white strips. A symmetrical shield and spears superimposed centrally. Black represents the people of Kenya. Red represents the struggle for freedom. Green represents Kenya's agriculture and natural resources. White represents Unity and Peace. The black, red and white shield symbolizes the defense of freedom.
Kenyan Flag Specifications All Materials to conform to the appropriate B.S.S (British Standard Specifications). All dimensions given do not necessarily represent any particular measurements and are merely proportional. Red to be 'Post Office Red', B.S shade reference 0-006 Green to be B.S shade reference 0-010. Source: this website. Dov Gutterman, 27 May 2002
Flag construction sheet image by Željko Heimer, 30 Mar 2002
Posted by Unknown at 8/11/2007 07:53:00 AM
CHILE

Age: 22
Gender: Male
Astrological Sign: Cancer
Zodiac Year: Ox
Location: Santiago de Chile : RM : Chile
Posted by Unknown at 8/11/2007 07:53:00 AM
Thursday, August 9, 2007
MADA YAKE LEO NI WANAFUNZI NA AJIRA YA MUDA WAKIWA SKULI AU VYUO
Ndugu msomaji katika kipindi hiki cha 5connect kinachuvulumishwa na channel five. Mada inasema wanafunzi wafanye kazi za muda wakati wakiwa skuli na kupata ujuzi pamoja na malipo ya kujikimu. mmmh Mimi sisemi chochote wewe sema kwani mungu amekupa mdomo wa kusema na kubofya
Posted by Unknown at 8/09/2007 10:10:00 PM
KENNEDY: DR AM JEI AKIWA KATIKA FANI#comments
KENNEDY: DR AM JEI AKIWA KATIKA FANI#comments: "Anonymous said...
dah! jamaa namkubali kwenda mbele yuko juu katika fun ya comedy lakini mmmh kuna ananiharibia mtoto watoto wangu siku kutembea kama yeye kuogea kama yeye we acha tu"
Posted by Unknown at 8/09/2007 06:11:00 PM











































