Friday, February 24, 2012

Tanzania kuitimisha mfumo wa analog Desemba 31 kujikita katika Digital

Habari za Tanzania via Kennedytz

Ze comedy TZ

Thursday, February 23, 2012

WATU wawili wafariki mkoani Pwani


Na John Gagarini, Kibaha

WATU wawili wamekufa mkoani Pwani kwenye matukio mawili tofauti
likiwemo la wananchi wenye hasira kali kumwua kwa kumpiga Bw Idrisa
Ugandi (26) mkulima na mkazi wa Kiomboni Visiwani Wilayani Rufiji
baada ya kumtuhumu kuvunja na kuiba vitu mbalimbali vyenye thamani ya
shilingi 935,000.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana mjini
Kibaha na kamanda wa polisi mkoa wa Pwani Bw Ernest Mangu alisema kuwa
marehemu alikuwa na wenzake wanne ambao walikimbia kusikojulikana.


Kamanda Mangu alisema kuwa tukio hilo lilitokea Februari 21 mwaka huu
majira ya saa 5:00 asubuhi huko Kijiji cha Mlanzi wilayani Rufiji.


Akielezea juu ya tukio hilo alisema kuwa marehemu na wenzake walivunja
nyumba ya Bw Salum Hija akiwa na wenzake na kufanikiwa kuiba vitu
mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu sh 800,00, simu mbili za
mkononi zenye thamani ya sh 80,000, redio ndogo yenye thamani ya sh
25,000, suruali moja aina ya Jeans sh 15,000, kanga doti moja sh 8,000
na kitenge doti moja 7,000.


Alisema kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye kituo cha afya
Mlanzi kusubiri uchunguzi wa daktari na ndugu wa marehemu kwa mazishi
pia hakuna mtu aliyekamatwa kuhusinana na tukio hilo na polisi
wanaendelea na uchunguzi.


Wakati huo huo mtoto Makia Karimu mwenye umri wa miaka (6) Mkazi wa
Bungu wilayani Rufiji amekufa baada ya kugongwa na pikipiki wakati
akitembea kwa miguu.


Kamanda Mangu alisema kuwa tukio hilo lilitokea Kiiji cha Bungu majira
ya saa 1:30 usiku barabara kuu ya Dar es Salaam Kilwa ambapo aligongwa
na mwendesha pikipiki aliyetambuliwa kwa jina la Raphael aliyekimbia
akiendesha pikipiki yenye namba za usajili T 419 aina ya Sanlg, chanzo
cha ajali hiyo ni mwendo wa kasi.


mwisho.

Capital News--World Bank report-Road infrastructure development--Moshi rain--Road sefety--

World Bank report-Road infrastructure development--Moshi rain--Road sefety--

Wednesday, February 22, 2012

Msukosuko wa uchumi na matatizo yanayojitokeza



Tanzania yatakiwa kubana matumizi ya serikali ili kuepuka uchumi kuyumba

Mgomo wa madereva wa Hiace Kilimanjaro- Meli ya iliyokatwa na samaki ya...

Capital TV na habari za Tanzania



Development vision 2015 and Climate change reseach. Tampered fuel pumping machine

Tuesday, February 21, 2012

Habari za Tanzania toka ITV hapa hapa Kennedytz

Monday, February 20, 2012

Habari za Tanzania toka ITV hapa hapa Kennedytz

Nape naye katika maombi na dhambi ya ufisadi.

Saturday, February 18, 2012

Habari za Tanzania 12~1

Friday, February 17, 2012

Habari za Tanzania via Kennedytz



Leo pata habari toka TBC

Thursday, February 16, 2012

JK na mipango miji

Monday, February 13, 2012

Habari za Tanzania via Kennedytz



Askari wa wanyama pori wanyanyasa wafugaji. Chadema yaendelea kutoa somo katika katiba elekezi ya Tanzania. Waislam nao wajianda kutoa masomo katika katiba elekezi ya Tanzania.

Vichaka katika mji wa kigamboni ni kero kwa raia



Jeshi la polisi latakiwa kuwa makini na vichaka Kigamboni. Serikali na changamoto ya kujivua gamba. Halmashauri kuu ya CCM yakutana Dodoma.

Thursday, February 9, 2012

Habari za Tanzania via Kennedytz na Bungeni

Sakata la mgomo wa madokta lapelekea waziri na katibu mkuu wake kusimami...



Maendeleo ya Mgomo wa madaktari nchini Tanzania yamesababisha waziri wa wizara ya afya na katibu wake kusimamishwa na jeshi la polisi kuchunguza kulikoni'

Kuanzia kesho madaktari wote watakiwa kuanza kazi mara moja ili kupunguza giza nene kwa wagonjwa katika hospitali mbalimbali ndani ya Tanzania.

Mgomo wa madaktari waendelea.

Wednesday, February 8, 2012

Sakata la madktari kugoma lapelekea wagonjwa kuteseka

Jakaya Mrisho Kikwete R Mengi na Balozi wa sudani

Libeneke la madokta kugoma lazidi kulindima

mpangaji mtemi

Monday, February 6, 2012

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu