Unataka kununua Gari mhhhhhhh....Umejenga nyumba au bado umepanga!

Hiiii ni kweli ilitokea Maeneo ya Bwawani
wale wa Morogoro mji kasoro bahari wanapajua
Jamaa walikuwa wawili katika hiyo gari
Mwnyezi Mungu ni mkubwa walitoka salama na
maumivu kidogo

Ndani ya Motokaa hiyo kulikuwa na Dereva
Mwanamume na Abiria Mwanamke ..........
Mengine sijui watafute wape maswali yako
mimi simoooooooooo

Unaweza kuta Jamaa alikopa Benki tena
Deni bado lipo Then Bima ni T.P Hapo sasa
jamani kajengeni kwanza theni mkatafute
Hivyo vitu vilivyowashinda waliotengeneza