Saturday, September 20, 2008

Latest News
09/19/08
Hundreds of Writers Worldwide Demand Education for All Children


09/17/08
Potential Health, Hygiene Issues in Texas Shelters


09/15/08
Setting up Safe Areas for Sheltered Children in Haiti


09/15/08
States Must Do More to Protect Day Care Centers in Emergencies


09/09/08
Save the Children and Warm Up America Launch Knit One, Save One


More news
Educating Children in West Darfur, Sudan. Watch VideoReaching Children: Johaire's StoryChild Hunger Crisis: Worldwide Impact

Learn more about our response to the global food crisis.

Friday, September 19, 2008



Duuu Sijui tuwaite jina gani hawa kina-mama, kila ijumaa wanopita kila duka na kupewa shilingi hamsini kila mmoja
wao Wewe tembelea kariakoo ujionee mambo ya jiji la Mh Kando......
Posted by Picasa


Posted by Picasa


Posted by Picasa


Posted by Picasa


Posted by Picasa



Posted by Picasa


Posted by Picasa

Thursday, September 18, 2008


Posted by Picasa


Posted by Picasa



Posted by Picasa


Posted by Picasa


Posted by Picasa

Posted by Picasa


Posted by Picasa

Wednesday, September 17, 2008

The Ngoma Africa band yazidi kuwatia kiwewe washabiki Ulaya

Bendi ya mziki wa dansi ya The Ngoma Africa inayoongozwa na mwanamziki nguli Ebrahim Makunja alimaarufu Ras Makunja hilifanikiwa kuufunga mtaa mrefu katikati ya jiji la mji mashuhuri wa Hamburg,katikati ya eneo maarufu hamburg-Haltona,
kulikuwa pata shika ya Nguo Kuchanika wakati bendi hiyo mashuhuri kwa kuwadatisha washabiki hakili na mziki wao wa dansi "Bongo dansi" kutoka Tanzania ukiwa unarindima
Live katikati ya mji katika tamasha kubwa la aina yake Afrika-Festival.
Hilikuwa majira ya saa 2.30 usiku wakali wa mziki wa dansi barani ulaya "The Ngoma Africa band walipanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao za kiswahili zilizo sindikizwa na mdundo mkali wa dansi ! mziki ambao uliweza kuwazoa mashabiki kwa kasi
ya aina yake na kuwatia kiwewe maelfu ya washabiki katika tamasha hilo.
*Ni Ras Makunja na Bendi ya The Ngoma Africa !
siku hiliyofuatia 30-08-2008 wakali wetu hawa walipanda jukwaa kubwa katikati ya
mji wa Krefeld,katika onyesho kubwa la wiki ya mwafrika (Africa Week) huko nako kuwa
patashika washabiki wamataifa mbali mbali wakiwa wamechanganyikiwa na mdundo wa
dansi wa Tanzania,jukwaa lilikuwa limezungukwa na walinzi wenye suti na miwani meusi,
Ras Makunja na kikosi chake wakiwa jukwaani na kuhakikisha mdundo huo unawamtingisha kila mtu.
Bendi hiyo ambayo imefanikiwa kuwanasa washabiki wa ulaya na mziki wao wa dansi
kutoka bongo Tanzania,inasemekana ndio bendi pekee ya mziki wa dansi iliyoweza kugusa hisia za kila mshabiki,si watoto wala wakubwa,vijana kwa wazee,wake kwa waume,wazungu na weusi hili mradi dansi lao linatingisha.

Monday, September 15, 2008



Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu