Wednesday, March 11, 2020

CORONA IMETANGAZWA KUWA JANGA DUNIANI

CORONA NI IANGA LINGINE DUNIANI

Ebu tumuombe Baba Mwenyezi Mungu atusaidie kwa hili janga

Tuanze sasa kimya kidogo wapendwa..

Baba mwenyezi Mungu mwenye uwezo na nguvu kuliko yeyote..

Tunakuomba utusamehe yale yote tuliyoyafanya kwa kutokupendeza wewe...

Baba tusamehe na utupe nguvu ya kupambana na janga hili la corona linalotaka kuiangamiza duniani yote.

Baba kemea na uangamize corona kwa sauti ya neno moja tu, ili binadamu tujikinge na kusonge mbele na maisha yenye imani juu yako 

Baba wape nguvu wanasayansi duniani kote ili wagundue kinga na dawa ya kuipoteza corona kusambaa duniani.

Baba wewe unajua nini kilichotokea mpaka corona kufika hapo.

Basi sisi wanao tunakuomba ili  utuonyeshe matumaini kwetu. Tuweze kupambana na janga hili la corona ili dunia iendelee kama ulivyopanga.

Amina.

By 

Kimaro


  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu