Saturday, July 19, 2008

IJUMAA 18, 2008, Tanzania kwa mara nyingine tena imeshuhudia uhuru wa habari ukiminywa na watawala. Gazeti hili la wananchi lilivamiwa na makachero na kufanya upekuzi kutokana na kile walichoita polisi, “kutafuta akaunti za siri za serikali na viongozi wake.”

Aidha, upekezi ulifanyika pia nyumbani kwa Mkurugenzi Mtendaji na Mhariri Mtendaji wa magazeti hayo, Saed Kubenea.

MwanaHALISI na wote wanaoipenda Tanzania wanalaani kwa nguvu zote uvamizi huo.

Kwa habari na picha zaidi click hapa

Makachero wakimwonesha Kubenea hati ya kusachi ofisi yake


Mugabe to call for more elections?
CIO source reveals plans to regain party majority
We will annihilate MDC-generals promise Mugabe






Police stuck with 400,000 case pile

THE Police have accumulated a backlog of over 400,000 cases in the last seven years, according to Police statistics. A total of 418,000 complaints registered since 2000 were still under investigations by the end of 2007. More...

Uganda's drug factories sub-standard

THE majority of drug manufacturing companies in Uganda do not meet operational standards, according to a new survey. A survey by the National Drug Authority revealed that several companies will be closed soon, after their grading is completed. The companies were not named. More...

Poll Violence: Who took illegally imported guns?


Security chiefs are tight-lipped over where two containers of firearms smuggled into the country at the height of post-election violence could be. Read More

News Headlines

Deadly load no one wants to talk about

On February 29, three arms shipments left the Somalia arms markets in Mogadishu. That was about three weeks after the Am... Read More

NSIS names post-poll suspects in camera

The National Security Intelligence Service (NSIS) presented its evidence in camera and gave out details of individuals w... Read More

You must sign performance contracts, Raila tells teachers

Prime Minister Raila Odinga has said teachers must sign performance contracts like all civil servants.... Read More

Rift in PNU widens as affiliates fail to agree on merger

President Kibaki’s allies are making spirited last-minute efforts to save the troubled Party of National Unity (PNU) tha... Read More

Sh40b lost to counterfeits annually, says Kebs CEO

Counterfeit goods are costing the country more than Sh4 billion a month, Kenya Bureau of Standards (Kebs) Managing Direc... Read More

Friday, July 18, 2008




Posted by Picasa




Posted by Picasa




Posted by Picasa




Posted by Picasa

Thursday, July 17, 2008

HABARI Barclays yazindua promosheni ya ‘maisha bomba wajasiriamali’ ::: Kilimo cha mbono marufuku Same ::: Meneja Tanesco Arusha alalamikia miundombinu ::: Kampuni ya mikopo ya nyumba yaanza nchini ::: Miembeni robo fainali ::: Wakali wa pool wawasili ::: ZIFF kusaidia tamasha la Kongo ::: U-17 waalikwa bungeni ::: Hatma ya rufaa ya Mintanga kesho ::: Moro, Kagera zapigwa faini ::: Hukumu ya Ze Comedy Jumatano ::: ….Simba, Yanga zaingiza 174m/- ::: Shein ataka Meatu walime mazao yanayostahimili ukame ::: Kikwete aagiza mikoa ifanye maandalizi ya kidato cha tano ::: Taasisi kutafiti uhusiano wa Ukimwi, kutahiriwa wanaume ::: Zainab Kawawa naye kugombea uenyekiti vijana CCM ::: Wenye mabasi hawajaridhika nauli mpya ::: Seif ajitosa mjadala kuhusu Z'bar ::: Meno ya Sumatra ni butu kwa daladala tukutu ::: Mamlaka zijizatiti kudhibiti ajali majini ::: Mbunge alalamikia ruzuku ndogo kwa walemavu ::: Maofisa Elimu kuzuru kijijini Mbwena kuhusu mabweni ::: TBC kufunga mitambo mipya ya FM mikoa tisa ::: Serikali ya Muungano yatoa bilioni 70/- kwa Zanzibar ::: Mtaji wa Benki Kuu Z’bar wajadiliwa ::: Starehe zinaharibu wanafunzi kitaaluma ::: Eneo la Kisakasaka kuwa dampo Z’bar ::: Iwepo mitaala shuleni ya kufundisha teknolojia wataalamu wazalendo ::: MV Jitihada yafanyiwa matengenezo makubwa ::: Wataka utaratibu siku ya maswali kwa Waziri Kiongozi :::

Jumatano Jul 16, 2008
HABARI INAYOONGOZA LEO:: Mama Mkapa abanwa
Serikali imeombwa kufuatilia madai kwamba mke wa Rais mstaafu Benjamin Mkapa, Anna, anawakata riba kubwa walimu kupitia kampuni


Posted by Picasa

MDC delivers fresh snub to Mbeki
Inflation rises to 2,2m%
SA slams US, UK criticism over Zimbabwe

Graft: Raila, Karua attack own government


Prime Minister Raila Odinga and Justice Minister Martha Karua on Wednesday tore into the anti-corruption policy of the very Government they serve. Read More

News Headlines

Waki to rule on advert by police against NGOs

The Waki commission will on Thursday make a ruling over an application to summon Police Commissioner to explain the cont... Read More

Rift Valley MPs reject eviction notice for Mau squatters

Some MPs from the Rift Valley have rejected the Government’s eviction order for squatters in Mau Forest.... Read More

ECK back in court to gag The Standard Group

Electoral Commission of Kenya commissioners are seeking a blanket order stopping The Standard Group from publishing ‘def... Read More

PAC summons bank boss over Sh20 billion loans

Parliamentary Accounts Committee (PAC) will grill National Bank of Kenya Managing Director Reuben Marambii over Sh20 bil... Read More

Boxers at risk of contagious diseases

Our boxers are exposed to dangerous contagious diseases, we can reveal today. ... Read More




Posted by Picasa




Posted by Picasa




Posted by Picasa




Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu