Saturday, September 1, 2007

tano bora




  1. LILIAN
  2. RICHA
  3. QEEN
  4. VICTORIA
  5. HIDAYA

MREMBO ATAKAYEIPELEKA TZ KATIKA MISS WORLD TUTAMPATA LEO USIKU









Harakati za kutafuta mrithi wa taji la urembo la Taifa ` Vodacom Miss Tanzania 2007` linaloshikiliwa na mrembo Wema Sepetu aliyetokea katika Kanda ya Kinondoni linaanza leo katika shindano la kumtafuta malkia wa kitongoji cha Dar City Centre linalofanyika kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza. Kufanyika kwa shindano hilo ndio ishara kamili ya uzinduzi wa mashindano ya urembo ya mwaka huu ambayo yanafanyika chini ya udhamini mkuu wa kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom. Mratibu wa shindano la Miss Dar City Centre, mkurugenzi wa kampuni ya Ellies Production, Eliude Pemba alisema jana kuwa maandalizi kwa ajili ya kinyang`anyiro hicho yamekamilika jumla ya warembo 17 wanatarajiwa kuchuana kuwania taji hilo linaloshikiliwa na Rehema Mhinzi. Alisema kuwa kampuni yake imepanga kutoa zawadi ya gari aina ya Starlet yenye thamani ya sh. milioni sita kwa mrembo atakayefanikiwa kuibuka mshindi kwenye shindano hilo. Eliude aliitaja zawadi ya mshindi wa pili kuwa ni fedha taslimu sh. 300,000, mshindi watatu sh. 200,000, mshindi wanne sh. 150,000, watano akiondoka na sh. 100,000 huku kifuta jasho ikiwa ni sh. 20,000 kwa washiriki wengine waliobakia. Alisema kuwa pia kutakuwa na shindano dogo la kuwania taji la balozi wa hoteli ya Ubungo Plaza, ambapo mshindi atazawadiwa fedha taslimu sh. 300,000 na kupata ajira ya miezi sita yenye thamani ya sh. milioni 1.5. Aliongeza kuwa wamiliki wa hoteli hiyo wamesema kuwa balozi huyo akiweza kuimudu vyema kazi atakayopatiwa katika kipindi cha miezi sita, atapatiwa ajira ya kudumu pamoja na kuongezewa mshahara na kuwa sh. 300,000 kwa kila mwezi. Alisema kuwa shindano hilo linatarajiwa kupambwa na burudani kutoka kwa bendi mahiri ya muziki wa dansi nchini ya FM Academia maarufu kama `Wazee wa Ngwasuma`, Hafsa Kazinje anayetamba na kibao chake cha Presha alishorikiana na Banana Zoro pamoja na kikundi mahiri cha wasanii wenye vipaji cha Tanzania House of Talent (THT). Aliwataja warembo wanaotarajiwa kuwania taji hilo kuwa ni Janeth Projest, Amata Chishato, Latifa Warioba, Sylvia Benedict, Witness Tresphory, Catherine John, Mariam Jerry na Doris Likwelile. Wengine ni Asha Hassan, Rihama Hussein, Immaculatie Ngerezah, Flora Mvungi, Leylat Jeruisy, Neema Mathias, Seprise Joseph na Martha Malissah. Warembo watatu watakaoshika nafasi za juu kwenye shindano hilo watakiwakilisha kitongoji hicho kwenye mashindano ya Kanda ya Ilala yatakayofanyika baadaye mwezi Juni.

Thursday, August 30, 2007

Kumbuka yaliyotokea poland

ilikua ni vita ya waroma,wayahudi na wagermany hiyo ndio jela kwa karibu..zipo nyumba zaaidi ya 300 zimejengwa ambazo ni jela.
watu walikua wakifungiwa humo kwani walikua hawataki wananchi wao wasambaratike na kuwachukua wananchi wote na kuwaweka kwenye nyumba hizo.utaona nimepiga picha nyuma ya nyumba kuna waya ambao watu walikua wakijalibu kutoroka wanapigwa shoti huko ni poland



Hiyo barabara ya treni ni sehemu ilikua ndio mwisho wa watu wote wanafikishwa hapo unaona kuna nyumba nyingi pembeni basi upande wa kushoto walikua wanachukuliwa watu wenye ujuzi mbalimbali kama huna ujuzi unaenda upande wa kushoto kisha unapelekwa kwenye hicho kinyumba wanachomwa moto, " picha zote zimepigwa na mwakilishi wetu wa blog hii kutoka europe bwanaa"

Watangazaji wa channel ten




Posted by Picasa

Yes enjoy u a self mhh

Posted by Picasa

Tuesday, August 28, 2007

Daniel Arap Moi aunga mkono Mwai Kibaki


Rais wa zamani Daniel arap Moi ametangaza msimamo wake kuhusu nani atakayemuunga mkono katika uchaguzi mkuu ujao na chaguo lake ni aliyekuwa mpinzani wake na sasa Rais Mwai Kibaki.
Akihutubia waandishi wa habari mjini Nairobi, Bwana Moi alisema kuwa Rais Kibaki anastahili kuungwa mkono kutetea kiti chake na kutawala kwa zamu ya pili.
Bwana Kibaki alikuwa mpinzani mkubwa wa Rais Moi ambapo waligombea urais mwaka wa 1992 na 1997.
Bwana Moi alitawala Kenya hadi mwaka wa 2002 ambapo, kisheria, hangeweza kugombea tena kiti hicho.
Alimuunga mkono mwanasiasa chipukizi, Uhuru Kenyatta wa chama cha KANU ambacho kilikuwa kimetawala Kenya kwa karibu miaka 40.
KANU kiling'olewa madarakani kwa mara ya kwanza tangu kupata uhuru kutoka kwa Uingereza mwaka wa 1963.
Bwana Moi aliwaambia wandishi wa habari kuwa Rais Kibaki hakuwa na ukabila na kwamba alikuwa anakuza umoja wa taifa na kuzingatia ajenda ya maendeleo.
Aliukosoa muungano wa ODM kwa kukosa utengamano. Chama cha KANU ni moja wapo wa vyama washirika wa muungano huo wa ODM.

UNAKUMBUKA PILIKAPILIKA HIZI ZILIKUWAJE ~

Posted by Picasa

Siku zote ukiwa unajulikana sana basi tabu ndiyo tunakumbuka kifo cha DIANA









The wedding of Lady Diana and the Prince of Wales was the love story of the decade. But the seemingly-perfect fairy-tale was destined not to have a storybook ending. The marriage broke down in acrimony and with revelations of infidelity on both sides. The couple's separation and divorce seriously damaged the monarchy itself. For Diana it was a painful process which led to depression - for which she claimed she got no support from the royal family.
Just as it seemed that Diana, Princess of Wales, had found new love, she died in a car crash on Sunday, August 31, 1997. The Princess's new friend, Mr Dodi Fayed, and the driver of the car, died in the accident as well; a bodyguard was seriously injured.


Childhood And Teenage Years

Diana Frances Spencer, was born on July 1, 1961, at Park House near Sandringham, Norfolk. She was the youngest daughter of the then Viscount and Viscountess Althorp, now the late Earl Spencer and the Hon Mrs Shand-Kydd. She had two elder sisters, Jane and Sarah, and a younger brother, Charles.
The root of Diana's insecurity lay in her upbringing, despite its privileges. Her family was living on the Queen's estate at Sandringham where her father had rented Park House. He had been a royal equerry for both King George VI and the young Queen Elizabeth II.

The wedding of Diana's parents was the social event of 1954 The Queen had been the chief guest when Diana's parents were married in 1954; the ceremony at Westminster Abbey was one of the social events of the year.
But Diana was only six when her parents split up. She would always remember the crunch of her mother's departing footsteps on the gravel drive. The children became pawns in a bitter custody dispute.

The happy years of her childhood ended when she was six years old Lady Diana was sent to boarding school, eventually attending West Heath Public School in Kent. Here she excelled at sport, particularly swimming, but she failed all her O levels. Nevertheless, in later years she recalled fond schoolday memories, and supported her old school.
After school, she worked in London, first as a nanny, occasionally a cook, and then as an assistant at the Young England kindergarten in Knightsbridge.

Diana as a kindergarten teacher Her father had moved to Althorpe near Northampton on becoming the eighth Earl Spencer. Her parents had divorced and there was a new Countess Spencer, daughter of the romantic novelist Barbara Cartland. But soon it was Diana who was to become the celebrated member of the family.

Diana and Charles announce their engagement Rumours spread that her friendship with the Prince of Wales was blossoming into something more serious. Press and television besieged her at every turn. But her days at work were numbered. The Palace tried in vain to play down the speculation. And on February 24, 1981 the engagement became official.
However, there were doubts even then about whether they were really compatible. They appeared to have little in common, and there was the age difference: the Prince was 13 years older than Diana. When journalists asked them during the official engagement photo call whether they were in love, both answered "yes" - with the Prince adding "whatever love means". Charles, it emerged later, had confided to a friend that he did not yet love Diana but was sure he could.

Earthquake tremors in East Africa cause panic, no casualties reported


Earthquakes, the strongest measuring 6.0 on the Richter scale, have been rattling north-east Tanzania for the past five days. The earthquakes were felt in some World Vision operational areas in the country and triggered strong tremors in neighbouring Kenya.
The World Vision Tanzania Head office in Arusha and 11 of the 13 Area Development Programs situated in the northern part of Tanzania experienced the shocks, but no casualties have been reported in or outside World Vision’s operational areas.
“At about 5.00p.m on Monday I felt the earth shaking and things were moving all over the house. Even this morning I felt it again and I have been discussing it with my friends in school. I’m not worried because it has already happened,” said World Vision supported child, John Muya, from Kenya’s Mashuru ADP in the Rift Valley.
“We are sending out guidelines on rapid onset preparedness and response plans. We are requesting each of the offices in the region to activate their National Rapid Response Teams and have the National Emergency Preparedness Response Fund ready in case the situation warrants,” said Beatrice Teya, World Vision’s Humanitarian and Emergency Affairs team leader in East Africa.
The Africa HEA team is discussing the possibility of setting up a pre-crisis team just in case the trend continues.
World Vision International President, Dean Hirsch was visiting the World Vision Tanzania office in Arusha on Monday, a day after the first tremor. Dr. Hirsch’s planned visits to Sanya and Ruvu Muungano were unaffected.
The World Vision Africa security and staff safety team has sent guidelines to World Vision staff in Nairobi actions in the event of earthquakes.
“People have been sending panicked text messages. Our appeal to staff is that they should remain calm and be vigilant. The security department is monitoring the situation and will keep you updated,” said World Vision Kenya security officer Moses Githinji.
Kenya government officials have dispelled a rumour that the American Embassy in Nairobi has issued a warning to staff of an impending earthquake in Nairobi.
East Africa’s Rift Valley runs along a geological fault line, that renders areas in range vulnerable to the shifting of various earth strata. Kenya Government officials say the recent tremors are not related to any movement of the Rift Valley’s structure. Seismologists attribute the tremors to volcanic activity under Oldonyo Lengai Mountain, an active volcano south of Lake Natron in Tanzania.
Oldonyo Lengai Mountain has been associated with volcanic activity recently. In 1966, the mountain experienced a major eruption and in 1988, an eruption resulted in silent lava flows.
In December 2005, a 6.8 magnitude earthquake shook vast parts of East Africa, including Burundi, the Democratic Republic of Congo, Rwanda, Tanzania, Kenya and Uganda.

by Geoffrey Denye and Mkama Mwijarubi and Patterson Siema - Communications - East Africa Area Office, Tanzania Office and Kenya Office.

Monday, August 27, 2007

WAPENI MASHAVU ON THE TAMASHA LA FILAMU ZA KIBONGO AT MSASANI BEACH


kwa yeyote anayesoma hii habari basi ni mpenzi wa filamu za kibongo basi ile filamu yako kali ya the mission inazinduliwa tar-3-9-07 katika ukumbi wa msasani beach club jeshini kule msikose 300/=entry

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu