Saturday, November 29, 2008

Je tunakaa kama marafiki wapendwa au kama marafiki wanafiki

Play cheza Bonyeza chini
Mtoto wa kiume amepewa fundo kwenye koo lake ili anapopatwa na matatizo au mwenzako anapopatwa matatizo uonyeshe ujasili wako kwako au kwa mwenzako. Inabidi ule ubini-adamu wako ufanyike pale kwenye tatizo bila kujali nini utapata au nini utapoteza
Kumbuka sifa zimegawanyika katika sehemu nyingi, na kila mtu anapata sifa kutokana na juhudi zake mwenyewe au kutokana na tafu toka kwa rafiki mwema asiye taka kusifiwa kutokana na alilolifanya kwa mwenzie.
Kumbuka umepewa fundo ili usiwe unapayuka kila unaloliona unatakiwa uwe Dume kwelikweli na sio mpayukaji kwa kile wewe unachokiona kipo katika mwelekeo usioupenda wewe na sio wenzio. Kumbuka maisha ni mzunguko na maisha ni kujifunza kila siku na ujue hakuna aliye kamilika kwa kila kitu, jua mengi tunajifunza wakati unafanya kazi ila kinachotakiwa ni je! Wanakijiji wenzio ni wale wenye upendo kwako au ndio wengi wenye roho ya korosho. Kuweni rafiki wema wanakiji wenzangu na si rafiki mnafiki ili mwenyezi mungu atupe zaidi mema kuliko chuki binafsi kati yetu hapa duniani
Wenu
rafiki nipendaye kuwa mwema na si mnafiki
Cheza wimbo huu hapa

Bi harusi afumaniwa kitandani kwa mumewe



Posted by Picasa

Dar to get gas-powerd veicle by next year




Posted by Picasa



Posted by Picasa



Posted by Picasa


Posted by Picasa

Soma Risasi

Katika hali ya kushangaza, wavunja mbavu wa Kundi la Ucheshi la Orijino Komedi walikamatwa na kushikiliwa kwa muda na Polisi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam baada ya kutinga mahakamani hapo kwa nia ya kuwaigiza mawaziri wa awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona...

The Sex Slave -50

hadithi za Shigongo
Wakili maarufu kutoka Marekani John Cochran amekuja nchini Tanzania kumtetea Dina katika kesi ya mauaji inayomkabili na anafanikiwa kumwokoa na kifo cha kunyongwa baada ya kutumia kipengele cha umri alipokuwa wakati anaua, Dina alikuwa na miaka kumi na sita wakati huo. Kifungo chake kinabadilishwa na kuwa cha maisha jela!

Ni siku ya masikitiko makubwa kwa watu wengi lakini kwa Dina ni ahueni kwani kwake ni bora kutumikia kifungo cha maisha akiendelea kuwaona watoto wake kuliko kunyongwa na kufa! Dk. Ian Duncan na watoto wa Dina wanashindwa kujizua na machozi kuwabubujika wanapomwona Dina akipakiwa ndani ya Karandinga la Polisi tayari kwa kupelekwa gerezani.
Je, nini kitaendelea? SONGA NAYO…

Posted by Picasa

Friday, November 28, 2008

Cheka ni kuchekeshe




Posted by Picasa

HAPONI MTU KAT..... HAWA!










Posted by Picasa

Ushahidi wa kuishtaki Kagoda uko wazi

+Yona na Mramba wakimbilia mahakama kuu leo:

+Heko JK, huu ndio utawala wa sheria



Posted by Picasa

Chanakya's Quotes - Worth reading a million times.



Indian politician, strategist and writer, 350 BC-275BC


"A person should not be too honest.

Straight trees are cut first
and Honest people are victimised first."



***************************************************
"Even if a snake is not poisonous,

it should pretend to be venomous."


***************************************************

"The biggest guru-mantra is:
Never share your secrets with anybody. !
It will destroy you."


***************************************************
"There is some self-interest behind every friendship.
There is no Friendship without self-interests.
This is a bitter truth."


***************************************************

"Before you start some work, always ask yourself three questions -

Why am I doing it,
What the results might be and

Will I be successful.
Only when you think deeply and find satisfactory answers to these questions, go ahead."


***************************************************

"As soon as the fear approaches near,
attack and destroy it."


***************************************************

"Once you start a working on something,
don't be afraid of failure and don't abandon it.
People who work sincerely are the happiest."



***************************************************
"The fragrance of flowers spreads only in the direction of the wind.
But the goodness of a person spreads in all direction."


***************************************************

"A man is great by deeds, not by birth.."


***************************************************
"Treat your kid like a darling for the first five years..For the next five years, scold them.
By the time they turn sixteen, treat them like a friend. Your grown up children are your best friends."


***************************************************
"Books are as useful to a stupid person
as a mirror is useful to a blind person."



***************************************************

"Education is the best friend.

An educated person is respected everywhere.
Education beats the beauty and the youth."




Posted by Picasa

Tanzania insurance industry facing crisis




Posted by Picasa

Kulikoni Manji




Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu