Thursday, June 28, 2012

Mgomo wa Madaktari Muhimbili



Huduma za jamii karibu zote zimesimama katika hospitali ya muhimbili. Madokta bado wanaendelea kupinga maagizo ya mahakama yaliyoelekeza waende kazini mara moja.

Serikali yachukizwa na tukio la kijasusi alilofanyiwa Dokta Steven Ulimboka



Pinda achukizwa na tukio la kijasusi kwa Daktari Steven Ulimboka. Wanajeshi na hospital ya lugalo kuwapokea  wagonjwa kwa sasa.

Pinda asema - Litakalo kuwa na liwe

Sakata la daktari kutekwa na kupigwa DKT STEVEN ULIMBOKA


Watu wasiojulikana walimteka mwenyekiti wa madaktari Stephen nakumpiga kumuumiza vibaya sana.

Wednesday, June 27, 2012

Ndani ya bunge na mjadala wa bajeti ya ofisi ya waziri mkuu.

Mbunge anayepeleka matatizo ya jimbo lake

Fedha za vigogo katika benki za nje.

Kinachoendelea kwenye Mgomo wa madokta ndani ya Tanzanai.

JanB ft Emmie-Playa Haters

Tuesday, June 26, 2012

Mgomo wa madokta Tanzania

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu