Saturday, August 22, 2015

Sumaye ajiunga na ukawa

Waziri mkuu wa zamani Federikc Sumaye  amehama CCM na kujiunga na Ukawa.

Amesema chama atakitaja mbele kwa mbele.

Friday, August 21, 2015

Ndege Angani.

Thursday, August 20, 2015

Flown Orion Prepared for Move | NASA

Flown Orion Prepared for Move | NASA

Sunday, August 16, 2015

Isaya

13 Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi. 14 Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.

Ajali

Y-21--15

15 Basi walipokwisha kula, Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha wana-kondoo wangu.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu