Friday, July 27, 2007

HUYU NDIYE MBUNGE WA VIJANA ALIYEKUWA NA MIKAKATI MIKUBWA KWA VIJANA LAKINI AMETANGULIA MWENZETU AMINA


HEKIMA YA MWANA WA MUNGU NI AMANI YA UPOLE II TAYARI KUSIKILIZA MANENO YA WATUINA HURUMA WALA
HAINA HILA YOYOTE VITA MAPIGANO NA TAMAA ZISIZOFAA ZAONYESHA ZAONESHA HATUNA HEKIMA.
SOMA HILI SOMO LINA SEMAJE
Hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo palipo machafuko na kila tendo baya. Lakini hekima itakayo juu, kwanza ni safi,
tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,
haina unafiki, Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani. Vita vyatoka wapi,
na mapigano yaliyo kati yenu yatoka wapi? Si humu katika tamaa zenu zifanyavyo vita katka viungo vyenu?
Mwatamani wala hamna kitu, mwaua na kuona wivu, wala hamwezi kupata. mwafanya vita na kupigana wala
hamna kitu kwa kua hamwombi! Hata mwaomba wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya,ili mvitumie kwa tamaa zenu


NDUGU MPENDWA TAFAKARI NA UFIKIRIE VIZURI NINI KINCHOSEMWA HAPO
Posted by Picasa

Wednesday, July 25, 2007

UNAPOTAKA KUSHINDANA NA MASHINE BAADA YA KUNYWA POMBE JE ITAKUWAJE ??


Ebwana weweee kwenye Hiyo motokaa kulikutwa mizinga ya yule jamaa aliyenyanyua mikono juu[konyagi]
Inasemekana dreva na abiria wake walitaka kumshusha mikoni chini, katika kushindana ndiyo yakotokea Hayo
Jamani Magari yananunuliwa kwa bei mbaya lakini kuyaaribu ni dakika chache tuuu
Madereva Hacheni kulewa huku mnadrive ni Hatari ya Danger mmmmmm mimi simo
Lakini wote walitoka salama hila majeraa modogo tu ya kukumbukia walichofanya Tena hospital haikuwa
mbali sana na palipotokea ajari. Yote hayo yalitokea usiku wa manane
Posted by Picasa

TEMBA AKIWA KAZINI KAMA WENGINE HAPA DUNIANI

TEMBA AKIWA JOB

Ebwana maisha ni Kutafuta shilingi Huyo ndugu yangu ni Mjalisimali kweli. Kila siku inapoanza yeye na kiti chake Kuanzia saa kumi
na mbili ya alfajiri lazima afungue hiyo biashara ya kuuza vocha za simu Kwa wapita njia wa mtaa wa Jogoo kalibu na LONG SHOOT
Na anapatikana kwenye eneo hilo mchana wote, mpaka wakati wa Dunia inapoliacha jua kunzunguka upande mwingine
Huyo jama jina la tatu ni TEMBA Yupo hapa Bongo kutafuta hili hawe Tajiri wa kesho na si leo
Wapo wengi tu wenye mawazo kama yake hapa Dar Mungu yupo nao wale wote wenye kutafuta kama TEMBA
YEYE ANASEMA WAMSAIDIE ILI APATE KIBANDA CHA KUFANYIA BIASHARA YAKE ILI YULE MKUU WA MKOA ........
Mimi naishia hapo wewe teta ktk Maoni
Posted by Picasa

Sunday, July 22, 2007

WAKAGUZI WA MAGARI WAKIWA KAZINI

HUWA INASAIDIA HAWA JAMAA WAKIWA PEMBENI YA BARABARA INABIDI WAKAE KILA BAADA YA HUREFU FURANI HIVI

AFANDE AKIWA KAZINI



KUPAKI KAMA HIVI NI HATARI PIA
LAKINI MMMM NDIO DAR HIYO

USALAMA KAZINI HAKUNA KATIKA KAZI KAMA HII

Huyu jamaa anafanya kazi katika mazingira ya hatari Lakini afanye nini kama akikataa Mwingine atafanya kama yeye
Kama kijikampuni kingekuwa kinajari hayo
Wangenunua Gari ya Lifti Ebwana ndio Tanzania hiyo Wewe unasemaje ???? Tuma comment

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu