Wednesday, July 25, 2007

UNAPOTAKA KUSHINDANA NA MASHINE BAADA YA KUNYWA POMBE JE ITAKUWAJE ??


Ebwana weweee kwenye Hiyo motokaa kulikutwa mizinga ya yule jamaa aliyenyanyua mikono juu[konyagi]
Inasemekana dreva na abiria wake walitaka kumshusha mikoni chini, katika kushindana ndiyo yakotokea Hayo
Jamani Magari yananunuliwa kwa bei mbaya lakini kuyaaribu ni dakika chache tuuu
Madereva Hacheni kulewa huku mnadrive ni Hatari ya Danger mmmmmm mimi simo
Lakini wote walitoka salama hila majeraa modogo tu ya kukumbukia walichofanya Tena hospital haikuwa
mbali sana na palipotokea ajari. Yote hayo yalitokea usiku wa manane
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu