Sunday, July 22, 2007

USALAMA KAZINI HAKUNA KATIKA KAZI KAMA HII

Huyu jamaa anafanya kazi katika mazingira ya hatari Lakini afanye nini kama akikataa Mwingine atafanya kama yeye
Kama kijikampuni kingekuwa kinajari hayo
Wangenunua Gari ya Lifti Ebwana ndio Tanzania hiyo Wewe unasemaje ???? Tuma comment

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu