Friday, July 27, 2007

HUYU NDIYE MBUNGE WA VIJANA ALIYEKUWA NA MIKAKATI MIKUBWA KWA VIJANA LAKINI AMETANGULIA MWENZETU AMINA


HEKIMA YA MWANA WA MUNGU NI AMANI YA UPOLE II TAYARI KUSIKILIZA MANENO YA WATUINA HURUMA WALA
HAINA HILA YOYOTE VITA MAPIGANO NA TAMAA ZISIZOFAA ZAONYESHA ZAONESHA HATUNA HEKIMA.
SOMA HILI SOMO LINA SEMAJE
Hapo palipo wivu na ugomvi, ndipo palipo machafuko na kila tendo baya. Lakini hekima itakayo juu, kwanza ni safi,
tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina,
haina unafiki, Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani. Vita vyatoka wapi,
na mapigano yaliyo kati yenu yatoka wapi? Si humu katika tamaa zenu zifanyavyo vita katka viungo vyenu?
Mwatamani wala hamna kitu, mwaua na kuona wivu, wala hamwezi kupata. mwafanya vita na kupigana wala
hamna kitu kwa kua hamwombi! Hata mwaomba wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya,ili mvitumie kwa tamaa zenu


NDUGU MPENDWA TAFAKARI NA UFIKIRIE VIZURI NINI KINCHOSEMWA HAPO
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu