Saturday, September 18, 2010

Habari za Tanzania na ITV Daima

Sikukuu za Hindu.

Tangibovu September 17, 2010

Mkusanyiko wa wenzetu katika sikukuu yao, nasi tunawapongeza kwa mshikamano.

Mchakato wa wagombea wa ubunge kanda ya ziwa Tarime.

Tangibovu September 17, 2010

Mwendelezo wa mchakato wa kuwapiga maswali wabunge.

Friday, September 17, 2010

Magazeti ya Tanzania via channel Ten

Tangibovu September 17, 2010

Tembelea www.kennedytz..blospot.com upate kile unachokitafuta




Habari za biashara kwa Afrika na Sky News.

Habari za Tanzania via ITV.

Tangibovu September 16, 2010

Yajue yanayokita vyombo vya habari ndani ya Tanzani, iliyopo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu

Mchakato wa wagombea wa ubunge Tarime

Tangibovu September 16, 2010

Wakague wagombea ubenge kanda ya ziwa Tarime

Sky News na mchanganuo wa habari za biashara kwa Afrika.

Thursday, September 16, 2010

Mgazeti ya Tanzania na Cannel 10

Habari za Tanzania na TBC.

Tangibovu Kennedy Kimaro

TBC1 Sauti ipo ila wanatumia left feed ya sauti .Katika mfumo wa sauti kuna kitu kinaitwa STEREO yani ina feed Right na Left . Pia kuna kitu kinaitwa MONO ambayo ita-feed left tu au Right tu. Tatizo kama computer yako ni mono utakumbana na ilo tatizo na kama ipo stereo basi lazima upate sauti.
Sasa Video ya leo nimejaribu kufanya mix sauti jaribu then give me feedback

Wenu Kimaro.Net

Wednesday, September 15, 2010

Orijino komedi na mtoto unavyomlea ndivyo akuwavyo.



Orijino komedi na mtoto unavyomlea ndivyo akuwavyo.

Habari za Tanzania via ITV.

www kennedytz blogspot com

Mchakato wa wagombea wa ubunge Arumeru mashariki

Tangibovu | September 14, 2010

Ndio wagombea wetu walivyo, wakipata ubenge kumpata ni kazi.

Tuesday, September 14, 2010

Habariza biashara kwa Afrika na Sky News.

Habari za Tanzania via CH 10

Habari za Kenya na K24 Tv

Habari za Tanzania na TBC 1

Habari za Tanzania na TBC 1

Tangibovu September 13, 2010

Pata habari za kampeni za vyama vya siasa Tanzania

Habari za tanzania via TBC na Maziko ya mtoto aliyeriki ktk disko toto

Tangibovu September 13, 2010

WATOTO wawili walikufa kwa kukanyagana ukumbini kwenye disko toto baada ya umeme kukatika kwenye Ukumbi wa Luxury Pub uliopo wilayani Temeke katika makutano ya mitaa ya Madenge na Liwale. Dar es Salaam.

Waliokufa katika tukio hilo ni Lilian Sango miaka 8 mkazi wa Matumbi na Amina Ramadhani miaka 7 kutoka mtaa wa Ruvuma, Temeke.

Monday, September 13, 2010

Habari za Kenya na K24 Tv.

Tangibovu September 13, 2010

Pata habari za Kenya hapa hapa www.kennedytz.blogspot.com

Mchakato wa wabunge Arumeru

Mchakato wa wagombea ubunge Arumeru from Tangibovu on Vimeo.

Habariza biashara kwa Afrika na Sky News_

Tangibovu September 13, 2010

Jijulishe yanayotokea duniani kwa ufupi via sky news

Habari za Tanzania via ITV.

Tangibovu September 12, 2010

Pata habari zilizochepuka ndani ya Tanzania via ITV

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu