Saturday, March 3, 2012
Thursday, March 1, 2012
Agriculture budget allocation
Posted by Kennedy Vareliani at 3/01/2012 11:26:00 PM 0 Maoni yako/Post comments here
Hii noma wamchoma moto kwa utapeli mikocheni.
Mbaya mkamateni lakini haki zake za kuishi mpeni. Watu waliochukizwa na tabia ya tapeli mmoja maeneo ya mikocheni, wamemtia moto na kusababisha kifo cha kufa uku akijionea mateso makali ya ukatili wa bin-adamu.
Posted by Kennedy Vareliani at 3/01/2012 12:24:00 AM 0 Maoni yako/Post comments here
Wednesday, February 29, 2012
Mrema azungumza neno
Posted by Kennedy Vareliani at 2/29/2012 05:29:00 PM 0 Maoni yako/Post comments here
Tuesday, February 28, 2012
Je! wewe ni mzaliwa wa Tabora- Wagonjwa na huduma duni ya afya
Zahanati ya ILOLANGULU yakosa madktari wa kuwatibu wakazi wa eneo hilo
Posted by Kennedy Vareliani at 2/28/2012 10:39:00 PM 0 Maoni yako/Post comments here
Ugunduzi wa machimbo ya gesi Tanzania
Posted by Kennedy Vareliani at 2/28/2012 10:19:00 PM 0 Maoni yako/Post comments here
Wizara ya ujenzi na barabara ya Namanga Arusha
Posted by Kennedy Vareliani at 2/28/2012 11:38:00 AM 0 Maoni yako/Post comments here
Monday, February 27, 2012
ajali ya fuso na Daladala
Posted by Kennedy Vareliani at 2/27/2012 10:50:00 PM 0 Maoni yako/Post comments here
Sunday, February 26, 2012
Tuzo ya heshima kwa Mama Maria Nyerere
Wake wa marais wastafu mama Siti Mwinyi na Mama Anna Mkapa waki mpatia Tuzo ya miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania Mama Maria Nyerere IKIWA ni ishara ya kutambua mchango wake katiaka kumsaidia Baba wa Taifa Mwalimu Jk Nyerere kuleta uhuru wa tanzania zawadi hiyo walitoa kwaniaba ya kikundi cha wake wa viongozi shughuli hiyo ilifanyikia msasani nyumbani kwa mwalimu nyerere jana
Mwenyekiti wa kikundi cha wake wa viongozi ambaye ni mke wa Waziri mkuu Tunu Pinda akimshukuru mweji wao mama nyerere kwaku wapokea na kukubali zawadi yao
Wake waviongozi wakiwa kila mmja anapiga picha ya pamoja na mama nyerere aliye vaa nguo nyekundu ni mke wa Makamu wa Rais Zakia Bilal na aliye mshika mkono mama mama nyerere ni Mama Mashiba
Mke wa katibu mkuu wakatibu mkuu mstafu wa ccm Mama makamba akimvisha mama nyerere zawadi ya Bangili
Picha ya pamoja baada shughuli kumalizika picha zote na chris mfinanga
Posted by Kennedy Vareliani at 2/26/2012 10:17:00 AM 0 Maoni yako/Post comments here
''Sizitaki mbichi hizi'' Spika kutogombea ubenge tena katika jimbo la njombe
Posted by Kennedy Vareliani at 2/26/2012 12:16:00 AM 0 Maoni yako/Post comments here











![[Chama Cha Mapinduzi]](http://flagspot.net/images/t/tz%7Dccm.gif)

![[Civic United Front]](http://flagspot.net/images/t/tz%7Dcuf.gif)

President J Kikwete

