Thursday, March 1, 2012

Hii noma wamchoma moto kwa utapeli mikocheni.



Mbaya mkamateni lakini haki zake za kuishi mpeni. Watu waliochukizwa na tabia ya tapeli mmoja maeneo ya mikocheni, wamemtia moto na kusababisha kifo cha kufa uku akijionea mateso makali ya ukatili wa bin-adamu.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu