Friday, December 30, 2011





All over the world, time is running out for innocent boys and girls affected by poverty, conflict and natural disasters.

Through the generosity of donors like you, Save the Children has already reached more than 73 million children with emergency aid and with long-term programs and activities that fight hunger and promote medical care and education. 

In desperate need of medical aid, these children could turn to our community health worker. What if we hadn't been there to help?
But millions more children are still threatened. 

That's why we're asking you to donate right now. 

Time is even more critical because your gift will be doubled when you donate by midnight, December 31. A generous supporter has offered to match every dollar donatedto our year-end campaign – up to $200,000. But your gift must be received in 2011 to qualify. 

As the year ticks to a close, please resolve to join us. After all, every child deserves a happy New Year! 

Thank you, 

Thursday, December 29, 2011

Mafuriko na mikasa yake

Ludewa na uchache wa vituo vya afya

Wednesday, December 28, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

capital habari

Saturday, December 24, 2011

Nawatakia Happy holidays Wadau wote

Habari za Tanzania via Kennedytz

Friday, December 23, 2011

Jiji letu via ITV.

Thursday, December 22, 2011

Mvua Dar via channel Ten

Video 0046

Mvua ya Dar.

Dar na mvua

Wednesday, December 21, 2011

Libeneke la mvua lalindima Dar

mvua katika jiji la Dar es salaam

Dar na mvua iliyoleta miangaiko

Tuesday, December 20, 2011

Judica Amri Lawson Deputy Regional Director for Africa ILO

Monday, December 19, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

Friday, December 16, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

capital habari 1

capital habari

Wednesday, December 14, 2011

Habari mchanganyiko via Capital Tv Hapa hapa kennedyTz

Hugh Segal Canadian Senator katika capital TV

Tuesday, December 13, 2011

Habari via ITV

Habari za Tanzania via Kennedytz

Monday, December 12, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

Saturday, December 10, 2011

Habari ni habari ndugu yangu

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Thursday, December 8, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

SOCIAL SECURITY AND PENSION FUND--EDUCATION SECTOR DEVELOPMENT--LIVERSTOCK DISEASE CONTROL--ANTI-CORRUPTION DAY--NJARU WATER PROJECT--POWER GENERATION

Tuesday, December 6, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

UN Population Fund Representative via Capital TV Tanzania.#2

UN Population Fund Representative via Capital TV Tanzania

Monday, December 5, 2011

INDEPENDENCE--ASSESSMENT ON TB---MEDIA AND BUSSINESS--ROAD INFRASTRUCTURE---TAX PAYER DAY--

Norwegian Ambassador Ingunn endelezo la pili

Norwegian Ambassador Ingunn via capital Tv

Saturday, December 3, 2011

ROAD INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT- JAPAN ASSISTANCE- ANTI-CORRUPTION- WORLD AIDS DAY

TANESCO EWURA- BAROZI WA KOREA NA MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP R. MENGI

JERRY MURRO -TCRA VYOMBO VYA HABARI -CCM NA MAGAZETI

Friday, December 2, 2011

Bush ndani ya Tanzania na mtoto anayeitaji msaada wetu

Habari za Tanzania via Kennedytz

TCRA na wadau wa kupunguza utumiaji wa madawa ya kulevya ndani ya TBC

Thursday, December 1, 2011

Jerry na mapito ya maisha

Wednesday, November 30, 2011

Jerry Karibu Tena Kaka Tupo pamoja


Friday, November 25, 2011

Open me before midnight!



ITV habari za Tanzania

Thursday, November 24, 2011

ITV habari za Tanzania na CCM DODOMA

TBC Habari na Mwalimu katika katiba

Orijino komedi na ya gadaf

Ajali mbaya iliyotokea Ubongo via ITV na TBC

Wednesday, November 23, 2011

ITV habari za Tanzania

ITV habari za Tanzania

channel 10 na habari za Tanzanai

channel 10 na habari za Tanzanai

Tuesday, November 22, 2011

Habari via ITV

Capital Habari za Tanzania



RAIA WOT WE WA TANZANIA WANAOISHI ULAYA ! WAANZA KWA KASI!
 KUSHEREKEA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA 
 
SHANGWE KUANZIA MÃœNCHEN hadi BERLIN HAKUNA KULALA MTU !

LIVE ! Ngoma Africa Band aka FFU ,Jumamosi 3 Dec 2011,MÃœNCHEN  
Jumamosi 10-12-2011 Berlin, Live Ngoma Africa band

Watanzania wanaoishi nchini Ujerumani wanaanza kusherekea  sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara,
kwa vishindo na vilivyochanganyika na shangwe zisizo mfano, kuwa siku ya Jumamosi 3 -12-2011 Uzinduzi wa
sherehe hizo utaanzia mjini München,katika mtaa wa Siebold Str,11,majira ya saa 10 alhasiri, na usiku bendi maarufu ya
muziki wa dansi Ngoma Africa Band wanatarajiwa kutumbuiza katika sherehe hizo za kihistoria.
 
Huko Mjini Berlin ,ambako ndio makao makuu ya ujerumani,kuanzia siku ya 9.Dec.2011 mji huo utatingishika na
sherehe hizo siku ya JUMAMOSI 10 Dec 2011 ndio siku ambayo watanzania na marafiki wa watanzania,wakiwemo
wahisani ,watajimwaga uwanjani kusherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara, bendi ya muziki kikosi kazi cha
NGOMA AFRICA BAND aka FFU ambacho kinatazamiwa kumwaga burudani ya muziki kitakuwepo uwanjani,
katika usiku usiokucha, Ngoma Africa band pia wanatamba na CD mpya ya "Shangwe 50 Uhuru  Anniversary",
ambayo imeshaanza kutingisha katika vituo mbali mbali vya Redio ndani na nje ya Tanzania,pia inasikika
 
WATANZANIA WANAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI ! Kama wahenga wanavyosema
CHEREKO ! CHEREKO ! NA MWENYE MWANA !

Monday, November 21, 2011

capital habari

Saturday, November 19, 2011

Wabunge ndani ya bunge

Bungeni na mbunge wa ubungo

Thursday, November 17, 2011

Capital Habari

Bunge lalindima na mchakato wa katiba.

Wednesday, November 16, 2011

Toa ndugu Toa ndugu Ulichonacho wewe Bwana...........

Tuesday, November 15, 2011

Capital Habari

Chadema na Kutolewa Lupango Lema

sakata la wabunge wa chadema kutoka ndani ya bunge

sakata la wabunge wa chadema kutoka ndani ya bunge

Monday, November 14, 2011

Capital Habari

Friday, November 11, 2011

ITV habari

ITV habari

Capital Habari

ITV habari

Thursday, November 10, 2011

Capital Habari

ITV habari

Wednesday, November 9, 2011

eatv ze comedy na Kaogeeeeee

TBC Habari via Kennedytz.blogspot.com

TBC Habari via Kennedytz.blogspot.com

capital habari 1

Capital Habari na Chadema Arrests

Tuesday, November 8, 2011

Msikilize Balozi wa UK ndani Agenda Monday

Yanayolindima Arusha na mbunge aliyewekwa lupango

Ujio wa Ufalme wa UK Tanzania

Pendekeza mlima kilimanjaro Vote sasa

capital habari 1

Capital Habari

Monday, November 7, 2011

orijino komedi na ndoa ndowano.

Walimu na Wizara ya Elimu

Ujio wa Ufalme wa UK

Saturday, November 5, 2011

ITV habari na mjini shule tosha

ITV habari Tabora wagoma

Habari ni habari ndugu yangu

Habari mchanganyiko via Capital Tv Hapa hapa kennedyTz

Thursday, November 3, 2011

Mtoto Nasra salumu na heri ya Idd Alhaj


Mtoto  Nasra salumu wa kimara ana watakia sikukuu njema ya Idd Alhaj waisilamu wote tanzania na duniani kote pamoja na babu yake
 alhaji Yusufu mfinanga wa kibaha mkoani

Tuesday, November 1, 2011

Capital Habari

Capital Habari

Moto na madhara yake wateketeza nyumba Tegeta

Monday, October 31, 2011

Gari la thamani lawaka moto karibu na Viktoria petrol station

Saturday, October 29, 2011

Capital habari

Capital Habari

TBC Habari via Kennedytz.blogspot.com

TBC Habari via Kennedytz.blogspot.com

Friday, October 28, 2011

GENDER EQUALITY -HABARI VIA CAPITAL

Children's Emergency Fund 2012

Capital Habari

Thursday, October 27, 2011

Dullonet inapenda kuwajulisha  wapenzi wa website yao ya www.dullonet.com/kuwa
kuna matatizo ya kiufundi hivyo haipatikani hewani katika mfumo
uliozoeleka, lakini pia wanapenda kuwafahamisha kuwa wanaweza kupata
habari za michezo burudani na sanaa kutoka katika webpage yetu ya
www.dullonet.com/sports.

Zaidi wanapenda kuwaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na
sababu zilizo nje ya uwezo wao lakini wanaendelea kulishughulikia tatizo lilotokea.

Kwa maoni na ushauri wasiliana nao kwa info@dullonet.com

Asante

Web Admin.



-- 

Dullonet Tanzania
P. O Box 34260
Dar Es Salaam

Wednesday, October 26, 2011

Capital Habari

AJALI ZAIDI YA WATU 10 WATEKETEA MOTO

Ben Komba/Pwani-Tanzania/25-Oct-11/07:49:11 PM


Watu zaidi ya 10 wameteketea kwa moto katika ajali ya basi la abiria
la DELUXE EXPRESS linalofanya safari zake kati ya ya Dar es Saalam na
Dodoma, baada ya basi hilo kupasuka tairi la mbele na kupinduka katika
Bonde la Bamba katika halmashauri ya mji Kibaha.


Kwa mujibu wa taarifaya Mganga mkuu wa hospitali ya Tumbi,BW. ANDREW
ISAACK LWALI amesema majeruhi ambao wamepokelewa ni 34 ambapo wanaume
26 na wanawake 8 na kati yao kuna watoto wanne ambao ni wawili wenye
jinsia ya kike na wawili wa kiume ambao walikuwa na miaka kati ya
miezi sita na miaka 12.


DOKTA LWALI ameongeza majeruhi 32 walipatiwa huduma ya kwanza kwa
baadhi yao kushonwa na baadhi yao kufungwa POP na matibabu mengine
madogo ya kawaida ambapo wengi wa majeruhi waliondoka mara baada ya
matibabu, wakati wengine wawili ambao ni wanawake wamelazwa mmoja
akiwa ni Mama mjamzito BI. SIKUZANI HAMIS ambaye ni muuguzi katika
hospitali ya Makole mkoani Dodoma ambaye amevunjika mbavu.


Wakati majeruhi mwingine BI. CECILIA NGIRAO ambaye anasumbuliwa na
maumivu ya kiuno ambayo yamesababishwa na ajlai hiyo, na wanaendelea
kupatiwa matibabu baada ya kufanyiwa uchunguzi, aidha amesema mpaka
sasa hakuna maiti yoytote ambayo imefika hospitalini hapo kutokana na
wengi wao kubakia majivu na mifupa na inasadikika watu zaidi ya kumi
wameuwawa na moto huo.


Akizungumzia uwezo wa hospitali kupokea wagonjwa wengi kwa mara moja,
amesema wamekuwa wakati mwingine wakipata wakati mgumu kutokana na
kutokuwepo na madawa ya dharura ya kukabiliana na majanga kama hayo,
na hivyo kuwalazimu kutumia dawa ambazo zilikuwa kwa ajili ya wagonjwa
wa kawaida kwa kutribia majeruhi, lakini kwa ujumla wamefankiwa
kukabiliana na wimbi hilo la wagonjwa wa mara moja kutokqana na uzoefu
mkubwa waliuonao kutokana na ajalai kutokea mara kwa mara katika
barabra kuu ya Morogoro.


Naye abiria BW. MASHAKA MNYANYINDI amesema chanzo cha ajali hiyo ni
kupasuka kwa tairi ya mbele ya basi walilokuwa wamepanda, wakati huo
dereva wao alikuwa ana jaribu kulipita gari, na ndipo waliposikia
tairi yao ikipasuka na basi lao kuanza kuyumba hali ambayo ilimfanya
dereva kushindwa kulimudu gari hilo na kutumbukia bondeni ambapo
lilibiringika mara mbili na kuanza kuwaka moto.


BW. MNYANDINDI amesema kilichomuokoa yeye ni kukaa katika viti vya
nyuma ya basi hilo, ambapo yeye na baadhi ya waliosalimika walitoka
katika sehemu fulani ya basi hilo ambayo ilikuwa wazi.


Mpaka naondoka katika hospitali ya Tumbi jioni hii, hakuna hata maiti
moja ambayo ilikuwa imewasili hospitalini hapo na niliweza kushuhudia
wafanyakazi wa chumba cha maiti wa hospitali ya Tumbi wakichukua
mabeseni na machela na kulega wakielekea eneo la tukio ambapo
inasemekana baadhi ya marehemu wanweza kuzikwa katika eneo la tukio.


Mwisho.

Saturday, October 22, 2011

Channel Ten Habari 001

ITV habari

Heka Heka zawajia toka Kenya via CITIZEN TV

Channel Ten Habari

Friday, October 21, 2011

Mtoto wacha kupiga mayoe wacha watu wajionee wenyewe

Mtoto wacha kupigo kelele Wacha watu waone wenyewe

Mtoto wacha kupiga kipelele Wacha watu wajionee wenyewe

Thursday, October 20, 2011

Msiba na Maziko Maulid H Maulid

Baba na Mama JK

Lowassa ateta

Ufufuaji waleta mkanganyiko

Jackson trial:Doctor acted like an employee

Wednesday, October 19, 2011

Mjenga nchi ni mwananchi Mengi na rushwa ikomeshwe

ITV habari

ITV habari

Tuesday, October 18, 2011

ITV na Mchungaji aliyemgonga mtoto afanya maonbi ktk tukio

"Wewe mtoto wacha kupiga kilele, wacha watu wajionee wenyewe"

EU steps up pressure on Kiev over Tymoshenko

Monday, October 17, 2011

TBC Habari via Kennedytz.blogspot.com

Albino akatwa vidole

Saturday, October 15, 2011

Habari kutoka TBC na ITV HAPA HAPA KENNEDYTZ

Friday, October 14, 2011

Bold as Love


Kwa kudadisi zaidi bofya hapa 1AFRICA TV

Habari ni habari ndugu yangu sehemu ya pili

Thursday, October 13, 2011

Habari ni habari ndugu yangu

Tanzania Kujipanga katika Tatizo la Umeme na Mazishi ya mtoto wa ....

Habari za Kijana anayeitaji watu wamsaidie kwa matibabu

Thursday, October 6, 2011

Habari mchanganyiko via Capital Tv Hapa hapa kennedyTz

Habari mchanganyiko via Capital Tv Hapa hapa kennedyTz

Habari mchanganyiko via Capital Tv Hapa hapa kennedyTz

NASA Ares I-X Rocket Launch Wed, 28 Oct 2009

ICC Uhuru, Ali and Muthaura

Wednesday, October 5, 2011

Zaidi ya nyumba 100 kubomolewa kwa kosa la kujenga karibu na bahari

Habari za Tanzania via Kennedytz

Igunga imekuwa ya CCM

Serikali yabatilisha kujenga kiwanda cha magadi

Three to Share Spacewalking Duties on Next Shuttle Journey

Kenya's Border Lapses

Tuesday, October 4, 2011

Salt in My Porridge: Save the Children Tanzania



Yasinta Ngonyani has left a new comment on the post "Salt in My Porridge: Save the Children Tanzania":

Habari ni habari kweli...ila kama walivyosema katika habari wengi wanafikiri kula mchicha basi ni umaskini. Pia afadhali walipata hata chumvi ya kuweka kwenye uji ..ila maji yale kunywa binadamu kama yalivyokuwa kweli inaumiza sana .... 

Wana-Habari wakiteta via Capita Tv Hapa hapa Kennedytz

Monday, October 3, 2011

Habari mchanganyiko via Capital Tv Hapa hapa kennedyTz

Igunga Igunga ya Rostam yabaki CCM

Igunga Igunga ya Rostam yarejea kwa CCM

CCM wameshinda kwa vote 26K na Chadema amajinyakulia 23K

Saturday, October 1, 2011



Hello Kennedy Kimaro



We at JamiiForums would like to wish you a happy birthday today!



It's a special day in your life and NOT just a year older, but a year better!



Wishing you all the great things in life, hope this day will bring you an extra share of all that makes you happiest.



Happy Birthday!
Jamani Bado tupo pamoja katika Dunia
Leo Tarehe 1/10 ni siku kama niliyozaliwa na Mama yangu Mpendwa
Bila yeye na Baba yetu kipenzi ambaye ametutangulia nisingekuwepo hapa nilipo.

Thursday, September 29, 2011

Igunga Igunga ya Rostam na Uwe paka ukamate panya!

Vyama vya siasa vyageuza uchaguzi wa Igunga kuwa kampeni ya kujikweza kw...

Habari za Tanzania via ITV. Kesi ya Tenesco kukataa kulipa fidia kwa Dowans

Wednesday, September 28, 2011

A Day in the Life: Protecting Vulnerable Kids in East Africa


A Day in the Life:
Protecting Vulnerable Kids in East Africa 
Save the Children Relief Worker Protects Vulnerable Kids in Drought-Stricken East Africa
Save the Children's Amy Richmond (right), protects vulnerable kids,
hungry and alone, in East Africa.
What's it really like in East Africa? Who are the relief workers? What do they do? How do they cope?

If you really want to know... Follow a day in the life of Save the Children's Amy Richmond, Child Protection Advisor. Amy works every day feeding hungry kids and protecting the vulnerable – those who are alone, lost, abandoned or orphaned – in the refugee camps of Dollo Ado, Ethiopia.
I wake up every morning with the sun. ... First stop is reception camp where dozens, sometimes hundreds, of children arrive each day. As soon as they're registered, they're rushed into a Save the Children feeding center ...



Your support lets Save the Children relief workers, like Amy, help East Africa's vulnerable children, hungry and alone. With more support, we can help so many more...

Mkwala wa Pinda waliamsha jeshi la polisi

CUF wateta

Habari mchanganyiko via kennedytz

Tuesday, September 27, 2011

habari via Kennedytz.

habari via Kennedytz.

Orijino Komedi na yanayotokea Igunga..

Monday, September 26, 2011

Ze comedy na yale ya Igunga

Sunday, September 25, 2011

Chadema na kasi ya kipima joto ndani ya Igunga

TBC na Waziri wa Habari. Ya CCM na CUF Igunga ya Rostam.

Mama wa kambo amnyanyasa mtoto wa kufikia.

Morogoro na mama wa kambo mwenye tabia mbaya ya kuwa anampa kibano mtoto [3] wa kufikia.

Jinamizi la ajali East Afrika -Ajali mbaya yatokea Tanzania tena.


Watu wapatao kumi na nne wamekufa na wengine wanaofikia 41 wameumia na kukimbizwa Hospitali..

Jinamizi la ajali East Afrika- Ajali mbaya Kenya

Basi la abiria limepata ajali na watu wanaozidi ishirini wamepoteza maisha nchini Kenya

Saturday, September 24, 2011

habari via Kennedytz.

Habari za Tanzania via Kennedytz.

Thursday, September 22, 2011

CCM wajipanga Igunga

ITV Habari Chadema na mwendo kasi Igunga

Habari za Tanzania via ITV.

Wednesday, September 21, 2011

Ajali Ajali zalindima

Tuesday, September 20, 2011

Capital habari via Kennedytz

Capital habari via KennedyTz

Sunday, September 18, 2011

Wamarekani wawapiga jeki majeshi ya EA

Wabunge wa Chadema lupango Igunga

Saturday, September 17, 2011

Moto wawaka kwa mara nyingine Mbeya

Friday, September 16, 2011

Ze comedi ya EATV

Zawadi ya Ijumaa

Capital habari via KennedyTz

Serikali yasitisha kuwatafuta waliozama na meli- Ajali ya chalinze

Habari za Tanzania via Capital Tv on the Kennedytz

Wednesday, September 14, 2011

Fundi wa Tanesco afariki kwa shoti ya Umeme mbezi beach

Saturday, September 10, 2011

Satellite Industry Using IBC to Promote New Ka-band Hardware

Editorial Insight

One of the major new satellite developments to happen during the past 12 months was Ka-band’s evolution from a concept to a reality in orbit. The bandwidth has taken off with considerable momentum and is set to accelerate at a blinding pace as $5 billion in new Ka-band spacecraft are set to launch through 2014 and place unprecedented amounts of new bandwidth into the sky. At this year's IBC conference, satellite companies and industry organizations have been using the event forum to showcase new Ka-band technology on the ground and host discussions on what role may Ka-band have in preserving satellite’s competitive edge.
While Ka-band has already been deployed for broadband access and TV distribution in the United States, other regions have not had access to the appropriate technologies to support these applications. Newtec CEO Serge Van Herck recently told Via Satellite that he believes this is about to change, as multi-service platforms become a reality at IBC. “The additional applications will rapidly add value to Ka-band satellite networks and provide a way of dramatically increasing the return on investment for satellite and service operators, by speeding up the fill rate of Ka-band satellites,” he said, “Additional services will generate extra service revenues and provide new offerings to millions of households and businesses, which will help the satellite industry to compete with terrestrial high-speed broadband services.”

Advertisement
Satellite TODAY’s White Paper Program

This self-serve program allows you to upload your white paper on SatelliteTODAY.com and connect with satellite professionals interested in your topic or subject matter. Program includes marketing campaign to a targeted list YOU select from Via Satellite’s Purchasing Report.

Learn More Now!
Services based on Ka-band have made a significant impact on several operators and their business models as a fair amount of Ka-band satellites were launched to rectify capacity shortfalls. Van Herck counts himself as a believer in the fact that Ka-band has almost become a necessity for satellite players to remain competitive in the long-term. How many other satellite executives will walk away from IBC convinced of the same? Only time will tell.

Thursday, September 8, 2011

ITV na sakata la magazeti kuwazushia vigogo

ITV na Watoto wanaozagaa mataani

Channel Ten na kukamatwa madwa ya kulevya kilo 196.

Tuesday, September 6, 2011

Shutuma kwa Jk via TBC Habari

Monday, September 5, 2011

CHINDULE

Saturday, September 3, 2011

Capital habari via KennedyTz

Capital habari via Kennedytz

Matajiri wa Tanzania wampiga jeki JK

Nyegere ashambulia familia


mkuki2000 has made a comment on Ngedere ashambulia familia:
Nyegere siyo Ngedere!....Nyegere kwa kingereza anaitwa Honey Badger.
You can reply to this comment 

Ajali ya Basi iliyotokea Arusha

Friday, September 2, 2011

orijino komedi

Capital habari via Kennedytz

Capital habari via Kennedytz

Capital habari via Kennedytz

Thursday, September 1, 2011

Orijino komedi na wimbo wa EID - YouTube

Orijino komedi na wimbo wa EID - YouTube:

'via Blog this'

Orijino komedi na zawadi ya EID

Wednesday, August 31, 2011

Basi lapata ajali

Monday, August 29, 2011

Zanzibari na maandalizi ya IDD Pemba

Tanzania imegoma kulitambua baraza la mpito Libya

EWURA kigeugeu na bei mpya ya mafuta.

Saturday, August 27, 2011

Wajerumani waipongeza ITV

Ajali ya basi dogo Singida via Kennedytz na ITV

Habari za Tanzania via KennedyTz


Watanzania waambiwa kutumia kwa makini akiba ya chakula kilichopo hapa nchini

East Africa Crisis: Bishara's Story

When 18 month old Bishara was brought into our stabilisation centre, she was severely malnourished, and clinging on to the very edge of life.
Find out how she is 6 weeks later.

Habari za Tanzania via KennedyTz_

Thursday, August 25, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz.mp4

Wabunge VS David Jairo na haki ya raia


Bungeni na sakata la David Jairo


Simba yaendeleza libeneke la ushindi

Wednesday, August 24, 2011

Capital habari via Kennedytz -Msiba wa Mbunge wa CCM Zanzibari

Tuesday, August 23, 2011

Msiba na yajue yanayoendelea katika michezo hapa Bongoland

Capital habari via Kennedytz

Sunday, August 21, 2011

Ze comedy na ...Mhnnnn Misimo angalia mwenyewe

Capital habari

Backstage at ITV and Save the Children's Born to Shine with Jennie McAlpine


Friday, August 19, 2011

Capital habari


Habari za Tanzania via Kennedytz- AJALI MBAYA MOROGORO

Vunja mbavu na Ze comedy ya EATV

Habari za Tanzania via Kennedytz

Thursday, August 18, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

Tuesday, August 16, 2011

Capital habari

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Tanzania

Monday, August 15, 2011

Habari za Tanzania via ITV.

Capital habari

Saturday, August 13, 2011

Habari za magazeti

Habari za Tanzania via ITV.

Ewura yaifungia BP Tanzania

Habari via capital TV

Friday, August 12, 2011

Habari za Tanzania via Capital TV

Ze comedy na Mzee Magumashi_

Habari za Tanzania via ITV.

Ze comedy na ..Bungeni na wabunge

Habari za Tanzania via ITV.

Thursday, August 11, 2011

Hebu tega sikio Mazungumzo haya sehemu ya pili

ITV na Sakata la Mgomo wa wauza Mafuta

ITV Habari na Msiba wa Kamanda Mayunga

ITV Habari Sakata la Mafuta Tanzania


Mgomo wa wauza mafuta

Wednesday, August 10, 2011

Hebu tega sikio Mazungumzo haya sehemu ya kwanza

Tuesday, August 9, 2011

Ze comedy yawaletea Mbunge toka Bungeni toka EATV

ITV Habari Mgomo wa wauza mafuta Dar

Ze comedy na Magumashi toka EATV

Saturday, August 6, 2011

Juno to Jupiter on This Week @NASA

Juno Mission Launches to Jupiter

Mapitio ya magezeti na machache toka studio

Moto unawaka ndani ya Chadema


Chama cha Demokrasia na Maendeleo -Nini maana ya Demokrasia na Maendeleo

Jibu ni Kuwatimua Madiwani wanaotaka maendeleo na Kukandamiza demokrasia katika chama

Friday, August 5, 2011

Wenye vituo vya kuuza mafuta na Mgomo

Chadema wakumbuke ya NCCR 1995

Mama JK na Mgeni wake

Wednesday, August 3, 2011

Charlie's Top of the World Challenge

Madereva wa pikipiki waliwasha basi baada ya kumgonga mwenzao. Maeneo ya...

Friday, July 29, 2011

Juno Mission Simulation

Saturday, July 9, 2011

https://secure.savethechildren.org/site/c.8rKLIXMGIpI4E/b.7522151/k.C337/2011_Summer_Campaign_Matching_Gift_Challenge/apps/ka/sd/donor.asp?msource=dmefusaf5c11&tr=y&auid=8627013

Wednesday, June 15, 2011

Vaccines don't inject themselves

Tuesday, June 14, 2011

Habari za Tanzania via ITV. JK na Mama Clinton

ITV Habari na wanachuo wanapotaka kugoma

Habari za Tanzania via ITV.

Thursday, June 2, 2011

Habari




Habari ITV Daima.-na Habari za wiki iliyopita

Friday, May 27, 2011

Aquarius Nears on This Week @NASA

Thursday, May 26, 2011

Habari ITV Daima. na UVCCM Arusha

Habari ITV Daima. yanayotokea Tarime

Wednesday, May 25, 2011

ITV na Mpangala Kijasti

Channel Ten Habari na Sakata la Mbunge wa Chadema

Channel Ten Habari na JK akizundua Win 7 ya Kiswahili

Channel Ten Habari

Tuesday, May 24, 2011

Habari za Tanzania via ITV. JK akimuaga Rafiki yangu

ITV na Mpangala Kijasti

Monday, May 23, 2011

Barack Obama: Incredible Speech!

Ask Not What Your Country Can Do For You!

Habari via TBC Tanzania. na mwana CCM aliyepigwa risasi Mbeya Rungwe

Sunday, May 22, 2011

Habari via TBC na Mwalimu aliyetumia mafao yake kusaidia yatima

orijino komedi na Babu aliyefiwa na kiburudisho chake

Tuesday, May 17, 2011

ITV Habari na yanayotokea Lolionda.

Habari za Tanzania via ITV.

Sunday, May 15, 2011

Ze Komedi ya EATV

Habari za Tanzania via ITV. vISHOKA WAKAMATWA

ITV na Mpangala Kijasti

Habari za Tanzania via ITV.

Saturday, May 14, 2011

9pm mombasa suicide

Habari za Tanzania via ITV.

Habari ITV Daima. na Mtoto wa ajabu Tanga

orijino komedi

Thursday, May 12, 2011

VODA na fungu la kumi kwa shule Tanzania.

Habari za Tanzania via ITV.

Wednesday, May 11, 2011

Habari ITV Daima. Chadema

Monday, May 9, 2011

Event Partnerships

Habari ITV Daima.

Mengi na vita ya watoto wapewe chakula mashuleni

Sunday, May 8, 2011

Habari ITV Daima. Kwenye moto wamwaga petrol mhnnn

Saturday, May 7, 2011

Habari via TBC Taifa-

Habari via TBC Taifa toka kwa Babu Loliondo

Habari via TBC 1

Friday, May 6, 2011

Habari via TBC Tanzania. Waziri wa ujenzi atema cheche

Habari za Tanzania via ITV.

Habari ITV Daima. Voda yaendelea kutoa fungu la kumi

Thursday, May 5, 2011

Habari ITV Daima.

Habari ITV Daima.

Monday, May 2, 2011

Habari ITV Daima. na Viongozi wa CCM wateta na wanahabari

Habari za Tanzania via ITV. NA Ridhiwan JK akiwachimba mkwala Slaa na Mti...

Channel Ten Habari- Mtoto wa JK Ridhiwan awawakia wanaosema yeye bilionea

Habari ITV Daima.- JK akiteta na wanahabari

Habari za Tanzania via ITV. Mkutano wa Chadema

Sunday, May 1, 2011

Habari ITV Daima.

Habari ITV x264 004

Habari ITV x264 004

Saturday, April 30, 2011

Volcanoes around the world

Habari ITV Daima. Bomoa Bomoa Ya Moro yasitishwa

Friday, April 29, 2011

ITV na Mpangala Kijasti

Habari ITV Daima. Kesi ya EPA yapigwa tarehe

Habari ITV Daima. SPika wa zamani na vita ya ufisadi

Channel Ten na Kijana anayewanyonga wanawake baada ya kufanya mapenzi.

Habari ITV na Ujumbe wa Ijumaa-Ishi na watu

Habari via channel Ten TZ

Channel Ten na waethiopia wanaokimbia kwao

Channel Ten

Thursday, April 28, 2011

Channel Ten

Channel Ten Habari- Wanaochakachua chakula

Wednesday, April 27, 2011

Habari za Tanzania via ITV. na Migomo

Katuni na wazo la Mpangala Nathan

Channel Ten Habari- JK na uteuzi wa Makatibu wazara

Monday, April 25, 2011

Habari za Tanzania via ITV.

Channel Ten Habari

Channel Ten Habari- Watoto wa uzawa wa Pasaka ya 2011

Sunday, April 24, 2011

Habari ITV Daima.-Pasaka

Channel Ten Habari

Orijino Komedi Ndoa ni ndowano na Nuna ulale chini

Saturday, April 23, 2011

Ivory Coast: Christine's Story

Friday, April 22, 2011

Habari za Tanzania via ITV.- Ijumaa Kuu Zenji

Habari za Tanzania via ITV.-Ujumbe wa Ijumaa Kuu toka kwa Johnn Malecela

Habari za Tanzania via ITV

Thursday, April 21, 2011

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV.

Habari TBC Taifa

Habari TBC Taifa

Habari TBC Taifa

Sunday, April 17, 2011

Kama wewe mtemi, jaribu nikumalize

orijino komedi na Pale unapokuwa lofa na limbukeni

Saturday, April 16, 2011

Habari via ITV Kesi ya Manji dhidi ya Mengi

Raisi wa Somalia ndani ya Tanzania via Habari ITV

Habari za Tanzania via ITV

Habari za Tanzania via ITV -Ngorika Ngorika

Habari za Tanzania via ITV. Na Mauzauza ya Katiba

One Child (TV advert)

Friday, April 15, 2011

Habari ITV - Hapa Libeneke la CCM ndio linachomoka sasa.

Ocampo

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV

Habari za Tanzania via ITV

Thursday, April 14, 2011

Orijino Komedi na marufuku ya mafuta kwenye kidumu

Habari za Tanzania via ITV.-Loliondo na wingi wa watu

Habari za Tanzania via ITV.

Wednesday, April 13, 2011

Habari za Tanzania via ITV.-CCM Nusura wamtoe mbunge ndani ya bunge

Habari za Tanzania via ITV.-Sheria ni Msumeno

Channel Ten Habari

Habari za Tanzania via ITV.

Tuesday, April 12, 2011

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV.- Mabasi yagongana wanne wafariki

Monday, April 11, 2011

O Canada we cry for thee

Wazanzibari waikataa katiba pendekezi kwa kuichana.

Sakata la CCM Chadema wataka serikali iachie ngazi

Sunday, April 10, 2011

Mwenyekiti wa CCM ateta kwa kujipanga kwa chama chake

Viongozi wa CCM wamejiuzulu

Mbunge wetu atembelea eneo yalipotokea mauaji Tegeta

Saturday, April 9, 2011

Habari ITV na Bomoa Bomoa Mabondeni

Habari kwa wale wa Kigoma

Habari kwa wale wa Kigoma

Wale wa Gongo la mboto

Friday, April 8, 2011

Habari za Tanzania na Spika wa bunge

ITV HABARI NA MCHAKATO WA KATIBA NA VIBWEKA VYAKE

Orijino Komedi chimba mkwala na wewe uchimbwe mkwala

Habari za Tanzania via channel Ten

Thursday, April 7, 2011

HABARI ZA MCHAKATO WA KATIBA TOKA DODOMA VIA HABARI ITV

Habari via ITV na Harakati za Katiba Mpya na vurugu za hapa na pale

Habari via ITV na Harakati za Katiba Mpya na vurugu za hapa na pale

Habari via ITV -Watu watano wapigwa mapanga mpaka kufa- Jeshi la polisi ...

Channel Ten zanzibar na Kumbukumbu ya Karume

MH: ZITTO BUNGENI via TBC

TBC MAZISHI YA RWEGASIRA_

TBC Zanzibar -KUMBUKUMBU YA KARUME

Wednesday, April 6, 2011

Habari TBC Taifa-Wabunge wanapopasha moto Bunge

2011 4 5 20 7 30 -Habari za Tanzania -Msiba wa Katibu Mkuu wa TRAWU -S R...

2011-4-5-20-7-30 Habari za Tanzania

Tuesday, April 5, 2011

Stacey Solomon in Malawi

Monday, April 4, 2011

Orijino komedi na matawi ya Babu wa Loliondo

Orijino komedi na matawi ya Babu wa Loliondo

Habari za Tanzania TBC-KOFI ANNAN Ndani ya Mbeya

Sunday, April 3, 2011

Habari za Tanzania ch 10 via Kennedytz-Kiongzi NCCR Mageuzi amwagiwa Tindi kali

Habari za Tanzania ch 10 via Kennedytz

Voda na nembo mpya

Voda na nembo mpya

Mothers for Mother's Day

Friday, April 1, 2011

Maajabu ya kikombe cha Babu yamvuta Waziri

Kisa cha mlinzi na komedi orijino from Tangibovu on Vimeo.

Habari TBC Wanafunzi wapekua wakienda skuli

Habari za Tanzania Ch 10 via Kennedytz

Habari za Tanzania ch 10 via Kennedytz

April Fool's Day Pranks.mov

LOLIONDO NA NJIA ZA PANYA KUTAFUTA UZIMA

Wednesday, March 30, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

TBC NA KIKOMBE CHA BIBI TABORA

Habari za Tanzania via Kennedytz

Kikombe cha Bibi Tabora

Habari za Tanzania via Kennedytz

Tuesday, March 29, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz na Kikombe cha mama wa Tabora

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via Kennedytz

Monday, March 28, 2011

Habari za Tanzania via Kennedytz

Habari za Tanzania via ITV 1

Habari za Tanzania ch 10 via Kennedytz

Habari za Tanzania ch 10 via Kennedytz

Habari TBC Taifa

Habari TBC Taifa

Tatizo lako kidogo 2_

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV.

Friday, March 25, 2011

Ukiona kimya basi kuna jambo

Jamani kila kitu kina sababu yake.

Basi kutopatikana habari hapa kennedytz basi kuna linalonisibu.

Sijui kama mnaweza kunisaidia katika hilo au ndio .....

Nilijaribu kulipigia kifua lakini sasa maji yamenifika shingoni.

Sina budi kujiokoa, nisije nikazama kwenye maji yanayojaa kwa kasi kubwa.

Lakini ninalowaza ni kujitokeza wa kuniokoa nisizame kwenye maji haya.

Monday, March 14, 2011

loliondo ya star tv

magofu na mafuvu ya turkana

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV

Habari via channel Ten TZ

Saturday, March 12, 2011

Habari za Tanzania via ITV.




Habari za Tanzania via channel Ten






Combo ya Habari toka Channel Ten na ITV

Friday, March 11, 2011

Habari TBC Taifa na pilikapilika za Loliondo

Orijino Komedi na Babu mchungaji wa Loliondo

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV.

ITV Habari na yanayotokea Loliondo

ITV Habari na yanayotokea Loliondo

Tatizo lako ni kidogo angalia Loliondo

orijino komedi

Thursday, March 10, 2011

Habari za Tanzania via ITV -

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV -

Habari za Tanzania via ITV. na Muonekano wa kisasa

ITV Habari na yanayotokea Lolionda- Ya Mungu apewe Mungu



Wednesday, March 9, 2011

ITV Habari na yanayotokea Lolionda.








Tuesday, March 8, 2011

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za tanzaia via ITV g

Habari za Tanzania via ITV.

Monday, March 7, 2011

Habari za Tanzania via ITV.











Saturday, March 5, 2011

Habari za Tanzania via ITV.





Friday, March 4, 2011

Habari za Tanzania via ITV. na Muonekano wa kisasa






Thursday, March 3, 2011

Magazeti via TBC Taifa- Sakata la Slaa kukamatwa

Habari TBC Taifa-Dowans





Wednesday, March 2, 2011

Habari za Tanzania via ITV.- Chadema ndani ya Shinyanga

Habari za Tanzania via ITV.-Raia wambeba askari polisi kwa kupambana na majambazi

Hotuba ya JK kila mwisho wa mwezi

Hotuba ya JK kila mwisho wa mwezi

Rais Jakaya Kikwete na hotuba ya kila mwisho wa mwezi

Tuesday, March 1, 2011

Magazeti via TBC Taifa

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za Tanzania via ITV. na Muonekano wa kisasa

Habari TBC Taifa

Habari TBC Taifa

Habari TBC Taifa-Raisi asema CHADEMA wataka kupindua nchi

Wikileaks Cables on Raila And Uhuru

Monday, February 28, 2011

Habari za Tanzania via ITV. na Muonekano wa kisasa









Saturday, February 26, 2011

Habari za Kenya na K24-Na Mizengwe

Habari za Tanzania via ITV na Mtazamo Mpya

Habari za Tanzania via ITV na Mtazamo Mpya

Habari za Tanzania via ITV na Mtazamo Mpya

Habari za Tanzania via ITV na Mtazamo Mpya - Jaribu kuplay hii utapata sauti

Friday, February 25, 2011

Orijino komed na Mabomu ya Gongo la mboto

Baba atenda dhambi kwa mtoto wake via TBC Taifa



Orijino komedi na mmiliki wa kampuni ya umeme D--------

Habari TBC Taifa






Thursday, February 24, 2011

Habari za Tanzania via ITV













Wednesday, February 23, 2011

Habari za Tanzania via ITV _ Mtoto anatafuta mtu wa kumsaidia

Habari za Tanzania via ITV.

Habari za tanzaia via ITV.

Tuesday, February 22, 2011

Habari za Kenya na K24

Habari za Kenya na K24 -

Habari za Kenya na K24.

Habari za tanzaia via tbc-Mauaji ya vikongwe

Magazeti via TBC Taifa

Habari za mabomu toka JWTZ.




21 Februari, 2011                                                                           

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

SERIKALI BADO INASHUGHULIKIA MASUALA YA RAMBIRAMBI NA FIDIA - SADICK

KAIMU MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Meck Sadick Serikali bado inashughulikia suala la rambirambi na fidia kwa walioathirika kutokana na mlipuko wa mabomu katika ghala la jeshi huko Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.

Ametoa taarifa hiyo leo mchana (Jumatatu, Februari 21, 2011) wakati akitoa taarifa kwa wake 26 wa viongozi mbalimbali wa kitaifa walioambatana na Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda kwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watu waliopata maafa kutokana na mlipuko wa mabomu hayo.

“Bado tunashughulikia suala la mkono wa pole kwa wafiwa, pia tunaangalia fidia kwa waliopata ulemavu wa kudumu... ni suala ambalo linaweza kuchukua muda kidogo lakini tumekamilisha mambo ya mazishi kwa kuwafikisha katika maeneo waliyotaka wenyewe wakazikwe,“ alisema.

Alisema Serikali iligharimia kusafirishwa miili ya watu wanne kwenda wilayani Rorya (Mara);  na miiili mengine mmoja mmoja kwenda Kyela (Mbeya); Kagera; Newala (Mtwara); Lushoto (Tanga) na Manerumango (Pwani).

Alisema hadi sasa kuna miili minne katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambayo bado haijatambuliwa, miwili kati ya hiyo ina majina na mwingine unafanyiwa uchunguzi wa kitabibu kwa sababu uliharibiwa vibaya na mlipuko na hautambuliwi ni wa jinsi ipi.

Akizungumzia kuhusu zoezi zima hadi sasa, Kaimu Mkuu huyo wa Mkoa alisema kwamba wanakabiliwa na changamoto ya kupata picha kamili ya ukubwa wa maafa kutokana na jinsi milipuko ilivyotokea na wamewaomba wenyeviti wa mitaa wawasadie kuratibu zoezi hilo.

“Tunakabiliwa na changamoto ya kubaini idadi kamili ni nyumba ngapi zimebomoka kabisa au kidogo na zinahitaji msaada wa aina gani, kuna ambazo zimebomoka kabisa, nyingine zimeezuliwa mapaa, ziko zilizoharibiwa ukuta mzima au sehemu tu, ziko zenye nyufa tu na nyingine ni fensi tu.“

Alisema kwa nyumba ambazo zimebomoka kabisa, wanawasiliana na Chama cha Msalaba Mwekundu na Idara ya Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu na kuwajengea mahema ili waweze kuendelea kuwepo katika eneo walilokuwa wakiishi.

“Kama nyumba ilikuwa na vyumba vitatu, tunawajengea mahema matatu ili kuwastahi wakubwa na watoto wakiwa katika mahema tofauti wakati taratibu nyingine zikiendelea. Kama nyumba ilikuwa na wapangaji wanne kila mmoja na chumba chake nao pia tunawajengea mahema manne ili wawe na maisha yaleyale,“ alisema.

Misaada iliyotolewa ni kilo 200 za mchele, kilo 100 za sukari, kilo 500 za unga wa mahindi, mafuta ya kujipaka katoni moja, sabuni za kufulia katoni moja, dawa za meno katoni moja, doti za khanga 55 ambayo ina thamani ya sh. milioni 1.5/-. Pia walitoa mabegi matatu ya nguo za wakubwa na watoto ambazo thamani yake haikuweza kupatikana mara moja.

Baadhi ya wake wa viongozi walioambatana Mama Pinda ni Mke mkubwa wa Makamu wa Rais, Bi. Zakia Bilal, Mke mdogo wa Makamu wa Rais, Bi. Asha Bilal, Mama Regina Lowassa, Mama Esther Sumaye, Mama Hasina Kawawa, na wake wa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu wakuu.

(mwisho)


IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
S. L. P. 3021,
DAR ES SALAAM.
JUMATATU, FEBRUARI 21, 2011.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu