Saturday, February 21, 2009

Banjuka na Kipanya

Friday, February 20, 2009

The calendar for AMREF courses in Tanzania

Click here to download your copy of calendar for these 2009 AMREF Courses Publish at Scribd&nb...
continue/endelea...
Post toka kwa Subi wa nukta 77

Katuni za leo toka magazetini




Posted by Picasa

Ray abadilika




Posted by Picasa

Liyumba ordered rearested:: Now Liyumba goes missing:: Livestock a major threat to environment - FAO Report




Posted by Picasa

Pata habari toka Habari Leo

HABARI Magereza wamkosha Waziri Mkuu ::: Mdogo wa albino aliyeuawa ‘amtaja’ baba ::: Kaimu Katibu Mkuu UVCCM asimamishwa ::: …mambo yaanza kunoga CHAN 2009 ::: Stars ya kwanza kutua Ivory Coast ::: Jukwaa: Andikeni habari za Mkuchika ::: Tofauti zisumbuazo kati ya jinsi na jinsia ::: Kuhamahama kwa wafugajii kiini cha migogoro na wakulima ::: Bwawa la ajabu la Ilagua na imani za Wapogoro ::: Tuisaidie nchi si kulalamika tu ::: Hatima ya ndoa ya mtoto wa Mungai Jumatatu ::: Shule ya Msingi Majengo wanakaa chini ::: Takwimu zakwamisha mipango ya maendeleo ::: Bunge laridhia kuundwa kamati ya uchunguzi ::: Baraza la Mitihani kuchekechwa ::: Liyumba atoweka? ::: Albino auawa, anyofolewa miguu ::: Serikali yaridhia ‘Mwadui’ kuuzwa ::: Kawambwa hajui likizo ATCL ::: Pinda aonya dhidi ya malalamiko hewa ::: Mawakili wa Liyumba walalamikia habari ::: Stars sasa suti kwenda mbele ::: Shule kutumia vitabu vya aina moja ::: Mshitakiwa adai Zombe amemponza ::: Maofisa Wizara ya Ardhi wajizolea viwanja kibao ::: ‘DC’ Albert Mnali alijitabiria kufukuzwa kazi ::: Elimu duni, teknolojia hafifu chanzo cha umasikini ::: Matumaini mapya yaibuliwa na Chuo Kikuu cha Dodoma ::: Dawa mpya ya malaria kupunguza vifo vya watoto? ::: Talhata awa Mwenyekiti Coasta, Makamba ndani :::

Alhamisi Feb
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitazama kiatu wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza viatu katika Gereza la Karanga mjini Moshi akiwa katika ziara ya mkoa wa Kilimanjaro, juzi. Kushoto ni mkuu wa kiwanda hicho, Ilinius Ngonyani na kulia kwa Waziri Mkuu ni Kaimu Kamishina Mkuu wa Magereza, Aziza Mulisali.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
HABARI INAYOONGOZA LEO::
Liyumba atoweka?
Dhamana aliyopewa mtuhumiwa wa matumizi mabaya ya madaraka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, imeingia dosari baada ya

Liyumba atoweka:: Mahakama yaagiza Liyumba akamatwe




Posted by Picasa

Liyumba atoweka

English News
JK instructs Maghembe to fire dishonest Necta staff
President Jakaya Kikwete yesterday ordered Education and Vocational Training minister Prof Jumanne Maghembe to ensure that all...
» More...
Kiswahili News
Liyumba atoweka
Taarifa za mahali alipo mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya kuisababishia serikali hasara ya Sh. 221,197,299,200.95 kwenye mradi wa ujenzi wa majengo pacha ya Benki Kuu...
» More...



Posted by Picasa

Siri nzito sasa yafichuka TUCTA




Posted by Picasa

DPP- Makachero bado wanachunguza EPA:: Tajiri Rostam akimbilia Kenya:: Pinda aonyesha tija




Posted by Picasa

BANGI TUPU:: P DIDDY AMTOA MACHOZI WAMAIMARTHA




Posted by Picasa

Liyumba atoweka!:: Kikwete atangaza neema kwa walimu:: Mstakiwa muhimu kesi ya Zombe hoi



Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu