Friday, February 20, 2009

Pata habari toka Habari Leo

HABARI Magereza wamkosha Waziri Mkuu ::: Mdogo wa albino aliyeuawa ‘amtaja’ baba ::: Kaimu Katibu Mkuu UVCCM asimamishwa ::: …mambo yaanza kunoga CHAN 2009 ::: Stars ya kwanza kutua Ivory Coast ::: Jukwaa: Andikeni habari za Mkuchika ::: Tofauti zisumbuazo kati ya jinsi na jinsia ::: Kuhamahama kwa wafugajii kiini cha migogoro na wakulima ::: Bwawa la ajabu la Ilagua na imani za Wapogoro ::: Tuisaidie nchi si kulalamika tu ::: Hatima ya ndoa ya mtoto wa Mungai Jumatatu ::: Shule ya Msingi Majengo wanakaa chini ::: Takwimu zakwamisha mipango ya maendeleo ::: Bunge laridhia kuundwa kamati ya uchunguzi ::: Baraza la Mitihani kuchekechwa ::: Liyumba atoweka? ::: Albino auawa, anyofolewa miguu ::: Serikali yaridhia ‘Mwadui’ kuuzwa ::: Kawambwa hajui likizo ATCL ::: Pinda aonya dhidi ya malalamiko hewa ::: Mawakili wa Liyumba walalamikia habari ::: Stars sasa suti kwenda mbele ::: Shule kutumia vitabu vya aina moja ::: Mshitakiwa adai Zombe amemponza ::: Maofisa Wizara ya Ardhi wajizolea viwanja kibao ::: ‘DC’ Albert Mnali alijitabiria kufukuzwa kazi ::: Elimu duni, teknolojia hafifu chanzo cha umasikini ::: Matumaini mapya yaibuliwa na Chuo Kikuu cha Dodoma ::: Dawa mpya ya malaria kupunguza vifo vya watoto? ::: Talhata awa Mwenyekiti Coasta, Makamba ndani :::

Alhamisi Feb
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitazama kiatu wakati alipotembelea kiwanda cha kutengeneza viatu katika Gereza la Karanga mjini Moshi akiwa katika ziara ya mkoa wa Kilimanjaro, juzi. Kushoto ni mkuu wa kiwanda hicho, Ilinius Ngonyani na kulia kwa Waziri Mkuu ni Kaimu Kamishina Mkuu wa Magereza, Aziza Mulisali.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
HABARI INAYOONGOZA LEO::
Liyumba atoweka?
Dhamana aliyopewa mtuhumiwa wa matumizi mabaya ya madaraka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, imeingia dosari baada ya

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu