Wednesday, July 25, 2007

TEMBA AKIWA KAZINI KAMA WENGINE HAPA DUNIANI

TEMBA AKIWA JOB

Ebwana maisha ni Kutafuta shilingi Huyo ndugu yangu ni Mjalisimali kweli. Kila siku inapoanza yeye na kiti chake Kuanzia saa kumi
na mbili ya alfajiri lazima afungue hiyo biashara ya kuuza vocha za simu Kwa wapita njia wa mtaa wa Jogoo kalibu na LONG SHOOT
Na anapatikana kwenye eneo hilo mchana wote, mpaka wakati wa Dunia inapoliacha jua kunzunguka upande mwingine
Huyo jama jina la tatu ni TEMBA Yupo hapa Bongo kutafuta hili hawe Tajiri wa kesho na si leo
Wapo wengi tu wenye mawazo kama yake hapa Dar Mungu yupo nao wale wote wenye kutafuta kama TEMBA
YEYE ANASEMA WAMSAIDIE ILI APATE KIBANDA CHA KUFANYIA BIASHARA YAKE ILI YULE MKUU WA MKOA ........
Mimi naishia hapo wewe teta ktk Maoni
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu