Wednesday, October 24, 2007

"Jamani Magari haya" Leo Mhe. Salome J Mbatia amefariki Dunia katika ajali ya gari iliyotokea Kibena mjini Njombe


Picha za ajali kwa hisani ya Mzee wa sumo. kwa habari zaidi ingia http://mpoki.blogspot.com/







Ajali ilitokea wakati akitoka Iringa kwenda Njombe Gari lake limegongana uso kwa uso na fuso lililokuwa limebeba mbao. Gari la Mhe.Mbatia limebondeka vibaya sana. kwenye gari la Mhe mbatia. Ilibidi wakate mabati katika gari ili kutoa watu waliokuwamo kwenye gari hilo

























  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu