Friday, February 15, 2008

HABARI Elia aibuka bingwa wa Fiddle ::: Mabepari wa Bongo Jukwaani leo ::: TASWA wampongeza Pinda, Mkuchika ::: Washindi wa Embassy warejea ::: JK: Tutatekeleza mara moja mapendekezo ya Bunge ::: Rostam Aziz akaangwa ::: Bei ya chakula kupanda zaidi ::: Sekta ya maua yapata hasara Kenya ::: Washauriwa ufugaji wa kisasa ::: Waliofanyiwa majaribio ya dawa za Ukimwi wanaweza kudai fidia ::: Wanaotumia mafuta ya transforma waonywa ::: Serikali kutafuta ufumbuzi tatizo la maji Geita ::: Walimu wastaafu 500 kuajiriwa mwaka ujao ::: Ludewa kupata milioni20/- kuhudumia wajawazito ::: Elia aibuka bingwa wa Fiddle ::: Washindi wa Embassy warejea ::: TASWA wampongeza Pinda, Mkuchika ::: Mabepari wa Bongo Jukwaani leo ::: Waalim Sikonge wapatiwa mkopo ::: Kanisa lamtaka Rwakatare afafanue hatma yake ::: Baraza lataka shule za Wazazi kufanya vizuri ::: Wakamatwa na misokoto 94 ya bangi ::: Kazi kwenu mawaziri ::: Hoja za kuwajibishwa kwa kampuni ya Richmond zisipuuzwe ::: Wanafunzi SUA wagoma Na Eline Shaidi ::: Majambazi wavamia kijiji, wabaka, wapora ::: Mlinzi wa kanisa auawa akidaiwa kuiba mahindi ::: Waandishi kujadili unyanyaswaji watoto ::: Kampuni Omims yang’oa nembo za Richmond ::: Teknolojia ya kuondoa carbon chanzo tegemewa cha mapato :::

Ijumaa Feb 15, 200
Rais Jakaya Kikwete akishikana mikono na Mwenyekiti wa Wazee wa jiji la Dar es Salaam, Athuman Mwinyimvua baada ya kumaliza kuzungumza na wazee katika ukumbi wa Diamond Jubilee jana. (Picha: Bernard Rwebangira).
HABARI INAYOONGOZA LEO::
Rostam Aziz akaangwa
BAADHI ya Wabunge wamependekeza Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM), achukuliwe hatua za kisheria kutokana na kutajwa kuwa ndiye



Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu