Monday, October 6, 2008

Bomoa Bomoa ya Kunduchuchi machimbo

Watanzania wenye kipato cha kawaida ndio wengi waliojenga hapa tena wengi fedha wametafuta
kwa jasho kwelikweli na sio za EPA au RICHIMOND au IPTL au Migodi
Bila kuwasaau Wanajeshi wa panda zote mbili Jwtz na Polisi raia
Ni Hatari lakini utafanyaje
Wengine wakifuatilia kwa karibu habari yote kwani kuna tetesi eneo hilo ni la mwarabu mmjo
Mhnnn mimi simo mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Tena wanaotolewa ndio wenye .......nch....
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu