Wednesday, February 11, 2009


The Ngoma Africa Band yenye makazi yake Ujerumani ,walitoa burudani kali ya kukata na mundu UFINI kwenye tamasha la 'FEST AFRIKA WINTER JAM.

Chini ya uongozi wake Ras Makunja waliweza kukonga vilivyo mashabiki.Walionyesha uwezo mkubwa wa kulitawala jukwaa kuanzia muda,uimbaji,uchezaji na kuwashirikisha mashabiki.

Kwa PICHA na matukio ya FEST AFRICA WINTER JAM unaweza kubofya HAPA

Mdau wa globu ya jamii Ufini.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu