Radio Uhuru - private, in Dar es Salaam and other cities
Kiss FM - private, in Dar es Salaam and other cities
Clouds FM - private, in Dar es Salaam and other cities
Orkonerei Radio Service (ORS) - community, operated by non-governmental agency
Voice of Tanzania-Zanzibar - state-run radio on Zanzibar
News agency
walter
Kennedytz Tv
Loading...
Search This Blog
Loading...
Misemo na ujumbe wa vijembe
+Fanya Bifu na Ukimwi na sio bina-adamu mwenzio >Akupedaye katika shida ndiye rafiki wa kweli >Usilie kwa kupigwa lia kwanini umepigwa > Kucheka sio dalili ya wema kwa mwenzio >Hata mbuyu ulianza kama mchicha >Nyumba ya udongo haipigwi deki
> KAMA UNAYO HAKI UNASTAHILI KUPEWA KAMA HUJAPEWA DAI
> KAMA HUKUBALI KUSHWINDWA KWANINI UNASHINDANA > UJANJA UKIZIDI UNAKUWA MSHAMBA > MJINGA AJIJUI > MWISHO WA BIASHARA YOYOTE NI FAIDA AU HASARA > KILA TAALUMA INA WATAALAM WAKE
> Kidogo cha kwetu kingi cha kwenu >ndondo sululu >Mpe Akupaye, Ukimpa Asiyekupa Ni sawa na Kutupa >anayetaka hachoki hata akichoka kashapata >He who wants does not tired when he tired he has what he wants. >Usiyavuke maji usiyoweza kuyaoga. > Do not cross water that is too deep for wading. .Afadhali akutembeleaye kuliko akutumiaye salaam >The one who visits you is better than the one who sends you greetings >Kazana kulima, vyakupewa havitoshelezi >Struggle farming, what's given to you doesn't satisfy your needs >Mwanga mpe mtoto kulea. >Give a wizard a child to bring up. >Utundu wa utotoni Si ukweli wa Ukubwani > Asila ni rafiki aliye adui >Furaha ya kondakta abilia > Kilichopinda ukikipinda unakivunja >Nyama ngumu ngumu zaidi kwa kibogoyo >Thamani ya Kondoo ni mkia wake >Ukimdai mkorofi usimwambie lini unakwaenda! >Palipo hacha kuwasha si pa kujikuna >Dume la Mbuzi halichagui Zizi >Hata jogoo alikuwa yai > Kazi ya Mwongo Haina likizo >Kama unataka mimi ninyamaze na wewe nyamaza pia >Ukimuona kobe juu ya mti basi kapandishwa >Anayependa kuonja basi si mnunuzi >Anayecheka bila sababu ni mwenye jino la dhahabu >"Bahati ni upepe sasa upo kwangu" >Dunia bulange pesa pozisheni >Wingi wa upendo ndio uchache wa chuuki na fitina >Ni bure zenu jjuhudi, yetu hamuyawezi >Wewe ukila sebuleni, sisi tuko jikoni >Wale wanonesha bidii, ndio wanaosaidiwa kwanza >Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili >Heri ya wachawi mara 200 kuliko mnafiki mmoja >kama Mungu amepanga hakuna wa kuchukua >Ulimwengu una maana ya onyeshe la mema machache na maovu mengi yaliyoenea kwa kujificha >Mwisho wa Ubaya ni aibu >Kumsaidia mtu ni maamuzi ya mtu mwenyewe >Talaka ya hawala ni makofi >Shida ingekuwa sumu tungekufa wengi >Heshimu mjinga ili uepuke balaa >Ukipata buzi lichune vizuri ukiambukizwa ukimwi usinune >Mabaya yanasemwa kila siku lakini..... >Maskini afilisiki >"ukiona unajamba basi utachafua mazingira" >Unga gunia! Mchele gunia! Maharagwe gunia! kazi kwako? >Not everything that counts can be counted, and not everything that can be counted counts
0 Maoni yako/Post comments here:
Post a Comment