Friday, August 14, 2015

Buhari na kasi zidi ya Boko Haram

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari. Amewapa wakuu  wapya wa majeshi miezi mitatu kuwamaliza kundi la kigaidi la Boko Haram.
Buhari ametoa amri hiyo wakati wa kuwaapisha viongozi wa kijeshi aliowateua mwezi uliopita.
Buhari alisema atatoa vifaa vinavyoitajika ili kufanikisha ushindi.
Lakini amewataka kufuata sheria wakakati wa mapigano na magaidi 

Nigeria's President Muhammadu Buhari has given his new military chiefs a three-month deadline to defeat militant group Boko Haram. Buhari gave the order at a swearing-in ceremony for the new service commanders he appointed last month. He said he would give troops the necessary resources to achieve the feat but urged them to abide by the law when fighting the militants.

Picha na habari toka CCTV Afrika.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu