Saturday, November 14, 2015

Magaidi washabulia Paris Ufaransa

Magaidi wameishambulia Paris na watu kadhaa wamuwawa.
Milipuko imetokea katikati ya paris sehemu tatu tofauti.
Polisi wamesema takribani watu 26 wameuwawa.
Habari zaidi angalia France 24 ipo live na channel nyingine za kimataifa.

Polisi - Takribani watu 40 wamekufa katika shambulizi hilo.

Rais wa Ufaransa Hollande ametangaza hali ya Hatari.na mipaka yote kufungwa.

Na wengine wemetekwa ndani ukumbi Bataclan Concert hall

Mipaka yote ya France imefungwa na raia wote wametakiwa kuwa wamoja katika matatizo yanayotokea sasa.


  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu