Tuesday, August 25, 2015

20 For where two or three are gathered together in my name, there am I in the midst of them. 21 Then came Peter to him, and said, Lord, how oft shall my brother sin against me, and I forgive him? till seven times? 22 Jesus saith unto him, I say not unto thee, Until seven times: but, Until seventy times seven. 23 Therefore is the kingdom of heaven likened unto a certain king, which would take account of his servants.

We.-17-18-19

17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu. 18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu. 19 Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.

Sunday, August 23, 2015

Joseph Sinde Warioba Katika ufunguzi wa Kampeni za CCM.

Magufuli asema

Mgombea urais wa CCM Magufuli asema atawalinda wana habari.

Wana habari wote lao ni moja kuelimisha na kufikisha habari kwa njia tofauti.

Magufuli katika ufunguzi wa kampeni za CCM.

Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi akiwahutumia mamia ya wanachama wa CCM viwanja vya jangwani jijini Dar es salaam.

Saturday, August 22, 2015

Sumaye ajiunga na ukawa

Waziri mkuu wa zamani Federikc Sumaye  amehama CCM na kujiunga na Ukawa.

Amesema chama atakitaja mbele kwa mbele.

Friday, August 21, 2015

Ndege Angani.

Thursday, August 20, 2015

Flown Orion Prepared for Move | NASA

Flown Orion Prepared for Move | NASA

Sunday, August 16, 2015

Isaya

13 Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi. 14 Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.

Ajali

Y-21--15

15 Basi walipokwisha kula, Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha wana-kondoo wangu.

Friday, August 14, 2015

JK na vita ya rushwa sekta zote

Alichokisema Bernard Membe Baada ya tano bora za CCM.

Ugandan Shilling stable as demand for dollar drops

Ugandan Shilling stable as demand for dollar drops

Buhari na kasi zidi ya Boko Haram

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari. Amewapa wakuu  wapya wa majeshi miezi mitatu kuwamaliza kundi la kigaidi la Boko Haram.
Buhari ametoa amri hiyo wakati wa kuwaapisha viongozi wa kijeshi aliowateua mwezi uliopita.
Buhari alisema atatoa vifaa vinavyoitajika ili kufanikisha ushindi.
Lakini amewataka kufuata sheria wakakati wa mapigano na magaidi 

Nigeria's President Muhammadu Buhari has given his new military chiefs a three-month deadline to defeat militant group Boko Haram. Buhari gave the order at a swearing-in ceremony for the new service commanders he appointed last month. He said he would give troops the necessary resources to achieve the feat but urged them to abide by the law when fighting the militants.

Picha na habari toka CCTV Afrika.

Thursday, August 13, 2015

Methali

1 My son, forget not my law; but let thine heart keep my commandments: 2 For length of days, and long life, and peace, shall they add to thee.

Methali 3-1-2

Mwanangu, usiisahau sheria yangu,Bali moyo wako uzishike amri zangu.

Maana zitakuongezea wingi wa siku.Na miaka ya uzima, na amani.

Wednesday, August 12, 2015

How Google Translate Makes Signs Instantly Readable - #NatAndLo Ep 3

What's Actually Inside Your Phone? - #NatAndLo Ep 4

Kijitonyama

Nunua motokaa pesa ifanye kazi.

Picha ya Scott Kelly - ISS

Mwanasayansi Anga za juu wa NASA Scott Kelly
(@StationCDRKelly), Akiwa ndani ya chombo cha Anga za Juu.
Iinternation Space Station.
Alipiga picha hii na kuisambaza kwa wana habari. 2015 mwezi wa nane tarehe kumi, kupitia Nasa.

Picha toka NASA.

Monday, August 10, 2015

W1-27-30

27 bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;

28 tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;

29 mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu. 30 Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu,

Sunday, August 9, 2015

For I know nothing by myself; yet am I not hereby justified: but he that judgeth me is the Lord. 5 Therefore judge nothing before the time, until the Lord come, who both will bring to light the hidden things of darkness, and will make manifest the counsels of the hearts: and then shall every man have praise of God.

4 Maana sijui sababu ya kujishitaki nafsi yangu, lakini sihesabiwi haki kwa ajili hiyo; ila anihukumuye mimi ni Bwana. 5 Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.

Uvutaji wa sigara barazani.

Tulipaki gari maeneo ya kariakoo
Bahati vioo ni vioo Giza, tukapata picha hii .

Samaki Mbawasu

Unakumbuka sent tano ilikuwa ina Picha gàni! Basi angalia picha chini

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu