Sunday, July 29, 2007

SALAMA AKIWA STUDIO ZA CHANNEL FIVE [5]



Mwanadada Salama akiwa kwenye Kipindi chake cha Planet Bongo Mwana dada huyu ni machaahari katika
kutoa kasoro nyimbo za kizazi kipya, hiyo stairi ya kuwapa changamoto wanamuziki katika kuwa makini
kwenye kurekodi. Wewe msomji unasemaje kuhusu Salama na Speed yake hiyooo.... mmmmm naishia hapo
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu