Sunday, November 25, 2007

Kina Mama wapo mbele katika ujenzi wa Taifa

Hapa Wamama hawa wawili niliwakuta sehemu ya Kariakoo wakichanganya zege
katka kutafuta maisha.

hapa kazi inaendelea kama kawa kwenye kazi hiyo bila kujali jinsia, ndio maisha yanapoendelea

DSM INAPENDEZA LAKINI!

DSM inabadilika siku hizi Mambo safi lakini sio sana
Hapa kama unaelekea Kigamboni utakutana na miundombinu hiii

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu