Tuesday, October 16, 2007
Monday, October 15, 2007
Jamani magari yatatumaliza
Hatari kubwa sana. kulikuwa na Gari ndogo tatu Walikuwa wakienda Tanga Lushoto
Lakini mungu ndiye anayejua! Walipofika maeneo ya kabuku wakaona bus lililokuwa likuvutwa na fuso gari ya kubeba mizigo
kwa mbele yao gafla likaanza kurudi nyuma kwa kasi kubwa. Kilichotokea ni hilo air bus {jina la bus} ni kuyagonga magari yote matatu
mawili yaliaribika sehemu kubwa sana na moja liligongwa sehemu ya mbele
Hakuna aliyefariki ila majeraha kidogo mungu mkubwa jamani
Posted by Unknown at 10/15/2007 05:45:00 PM
Yanga si watoto wanachanganywa then wanapewa pipi tamu { pipi ni Mabasi ya kwenda moro}
Posted by Unknown at 10/15/2007 07:44:00 AM
Labels: Copyright 2007 kennedy blog. All rights reserved, kennytz
Sunday, October 14, 2007
Leo hii ilikuwa kazi kwenye kabumbu katika kumkumbuka Baba wa Taifa







wajanja kweli kama redio yao Clouds the fm The people station

Furaha kuwa mjanja pia kuwa mshindi








nyumba yake bonyeza hapa MICHUZI
Posted by Unknown at 10/14/2007 04:27:00 PM
Subscribe to:
Posts (Atom)