Sunday, August 12, 2007

KITUO CHA WATOTO YATIMA JE TUNAWAKUMBUKA ?


Je Watanzania Tunawatembelea Watoto yatima na kuwapa ushirikiano katika maisha yao??
Angalia Hawa watoto Toka wapi sijui? Waliamua kuchukua siku ya jumapili yao Kuwatembelea watoto wenzao!
kuwapa wenzao faraja ambayo Mwenyezi Mungu anayopenda sisi kutenda, jaribu kufikiria Mara nyingi Jaribu kuwasaidia watoto yatima popote walipo na mwenyezi Mungu atakulipa siku moja

Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu