Wednesday, August 15, 2007

ZITO KABWE NA SIASA ZA TANZANIA JE TUTAFIKA KWELI?


click picha kupata picha kubwa
Jamani nafikiri Bunge linataka kuchochea moto kwa Gesi ya Songo songo
Nikimnukuu Mwanasheria mmoja aliyekuwa katika kipindi cha Pambanua
'kuwa kutokana na sheria za bunge letu ilitakiwa kabwe asiuzurie vikao vitano tu" Sasa yule
mweshimiwa sana Sita ametoa wapi! hiyo hadhabu ya mpaka january Mimi sisemi
teta wewe kwenye maoni Kwani Kabwe ni kijana Mwenzetu Hawa wazee bado woko kimwaka 47

Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu