Wednesday, August 8, 2007

MAISHA NI KUJITUMA WEWE MWENYEWE KATIKA KAZI




Ebwana Mjini kuna Matatizo yake Pamoja na Vijana kuamua kujiajili wenyewe lakini kuna sehemu ya JIJI Hayo Maguta yamepigwa
marufuku kubeba Mizigo. Hapo huo mzigo sio wa huyo mwendesha guta kuna mjarisiamali mwingine aliyekodi guta
Sema wewe msomaji Vijana wa Bongo Land watanyanyuka hapo kesho na kuwa mashefa wa muda huo? Teta wewe ndugu yangu
kwenye Maoni
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu