Sunday, September 16, 2007

Ni nani wa kulaumiwa hapa!

Mtanzania ambaye anatafuta shilingi kwa vitendea kazi Duni
huyo Dereva wa guta alibeba mzigo kuzidi uwezo wa Gari yake
na yeye mwenyewe Yote haya yanatokana na Umaskini
Kwani mwenye mzigo anatafuta kwenye urahisi na kukwepa kukodi gari
haya ndio maisha kila mtu tunapenda kutafuta penye urahisi
kuliko kuangalia usalama wetu wenyewe



Jafari has left a new comment on your post "Ni nani wa kulaumiwa hapa!":huyo jamaa ndio mwenye makosa sababu alifikiri kuwa kiasi cha mzigoalichobeba kingeweza kuwa ni kidogo kuliko uwezo wa gari yake wanayaitaMAGUTA.

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu