Thursday, December 25, 2008

Mambo ya sikukuu ya Christmas

Jamaa amependeza na rangi yake ya mchanga wa baharini. Yote hayo ni kusherekea sikkuu ya xmas


Huyu naye kazidi mambo ya sikukuu hayo jamani Yote hayo yalikuwa ndani ya coco beach leo


Kikosi cha kuokoa wale watakaopata matatzizo kwenye maji kilikuwapo Tanzania na maendeleo jamaniii
watu kibao katika kusherekea sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa Kristo




Jamaa wanachekesha hawa ungekuwepo mbavu zingekubana ...



Picho zote kwa hisani yangu na EASTMAN KODAK 650



Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu