Saturday, September 8, 2007

Hawa wamakonde niliwakuta mitaa ya kariakoo

Sijui walikuwa wakitafuta nini katikati ya kariakoo!
Basi walipokatisha katikati ya soko la kariakoo walizomewa sana mpaka wakafunika nyuso zao

Hapa mashabiki wa timu ya taifa ya msumbiji wakipita maeneo ya soko dogo kariakoo
Kamera yetu ilipata bahati ya kuwabamba wakizurula katika jiji la mkuu wa mkoa
anayepata shida ya kuwatoa wapiga debe kwenye vituo vya mabasi
Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu