Friday, September 7, 2007

Haya mambo ya kutafuta kununua tiketi za mechi kati ya Taifa star na msumbiji

katika matukio kama haya jeshi la polisi lipo mstari wa mbele kuweka mambo sawa









Waswahili walisema Mgeni aje mwenyeji apone Basi
Tangu lile wanaja la taifa lianze kazi vituo vya posta
vimepata kazi ya ziada kutokana na watu wakijazana
katika vituo hivyo kununua tiketi ili kupata nafasi ya
kwenda kuangalia kabumbu katika kiwanja hiko kipya na cha
kisasa kabisa hapa afrika nasi tunahesabika wajameni.
tuna liwanja la Taifa lenye kueshimika banaaaaaaaa

Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu